Darasa: Maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania ila kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika!

Nawatakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru na Jamhuri, nikiendelea kusisitiza, kumbukumbu ndio kumbukumbu za uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimmisho ya uhuru wa Tanzania.
P
Nawatakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru na Jamhuri, nikiendelea kusisitiza, kumbukumbu ndio kumbukumbu za uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimmisho ya uhuru wa Tanzania.
P
 
Wanabodi!

leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika lakini maadhimisho na sherehe ni ya uhuru wa Tanzania!.

Kufuatia baadhi ya watu kuwa kwenye sintofahamu ni maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ama Tanzania?.

Hivyo nimejitolea kutoa somo hili ambalo naamini litakuwa ni very benefisho kwako.

Wajameni ni katika kukumbushana tuu kuwa maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania, na sio wa Tanganyika!.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali

Update;
Kiukweli humu jf, tuna vilaza wengi kuliko tunavyo jidhania!. Watu ni wazito kuelewa mpaka basi!.

Mkuu Mti wa Muwese, The Palm Tree , huu ndio uelewa wa baadhi ya Watanzania, wewe ukiwemo, halafu mkiambiwa ukweli mna uwezo finyu wa uelewa, mnakasirika.

You are absolutely right, kumbukumbu ni za uhuru wa nchi iliyokuwa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania!.

Kuna mambo mawili.
1. Kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika.
2. Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania ambayo hapo zamani ilikuwa Tanganyika.

Sasa najaribu kukuelewesha kwa kutumia kiwango cha chekechea, usipoelewa sasa, utanisamehe bure.

Mfano,
  1. Kuna binti mmoja anaitwa Binti Mti wa Muwese, kila siku yake ya kuzaliwa anaisherehekea kama kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Binti Mti wa Muwese.
  2. Kila akisherehekea siku hiyo, ni sherehe za kukumbuka ile siku yake ya kuzaliwa, na anayesherehekea siku hiyo ni Binti wa Muwese.
  3. Ikatokea mimi Pasco Mayalla, nimempenda Binti Mti wa Muwese, nikamuoa, akabadili jina sasa haitwi tena Binti Mti wa Muwese, sasa anaitwa Mrs. Pasco Mayalla na nyumbani anaitwa Mama Junior, maana kanizalia kidume kinaitwa Pasco Junior.
  4. Siku ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Binti Mti wa Muwese, ila sherehe ni ya Mama Junior.
  5. Kumbukumbu ni ya kile kilichofanyika wakati kikifanyika, ni kumbukumbu ya kuzaliwa kale kachanga kalikoitwa Binti Mti wa Muwese, lakini sherehe, yaa birthday party, sio party ya binti Mti, ni party ya Mama Junior (Mrs Pasco)
Hivyo nchi iliyopata uhuru ile tarehe 9 Desemba 1961 ni Tanganyika, hivyo kumbukumbu ndio ya uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho, sherehe, ni ya Tanzania, kwasababu yule Tanganyika amebadili jina na kuwa Tanzania Bara, kwa kifupi Tanzania.

P.
Kwa nini umeamua kupotosha umma makusudi??
Leo ni maadhimisho ya Uhuru wa TANGANYIKA, wala siyo uhuru wa Tanzania.
Tarehe 9 Disemba, 1961 hapakuwa na kitu kinachoitwa Tanzania, Bali ilikuwepo Tanganyika. Tanzania ilizaliwa takribani miaka 3 baadaye.
 
Nawatakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru na Jamhuri, nikiendelea kusisitiza, kumbukumbu ndio kumbukumbu za uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimmisho ya uhuru wa Tanzania.
P
You're completely wrong and out of point. Tanzania haijawahi kupata Uhuru, uhuru ulipatikana kwa nchi ya Tanganyika na nchi ya Zanzibar.
Tanzania ilizaliwa kutokana na Wazazi wake wawili (Tanganyika+Zanzibar), Tanzania haikutokana na Uhuru.
Je, Tanzania ilipata Uhuru kutoka kwa Mkoloni yupi?????
 
Nawatakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru na Jamhuri, nikiendelea kusisitiza, kumbukumbu ndio kumbukumbu za uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimmisho ya uhuru wa Tanzania.
P
Rubbish!... Tanzania Day kama umeipenda kiasi hicho inatakiwa iadhimishwe siku zilipounganishwa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar April 26, 1964. Tarehe ya leo 9 December 2023 ni kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika (09/12/1961).... Wakati kumbukumbu ya uhuru wa Zanzibar ni tarehe 10 December, 1963... Paschal unapotosha historia kwa manufaa yako binafsi au kwa manufaa ya nani hasa?
 
Rubbish!... Tanzania Day kama umeipenda kiasi hicho inatakiwa iadhimishwe siku zilipounganishwa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar April 26, 1964. Tarehe ya leo 9 December 2023 ni kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika (09/12/1961).... Wakati kumbukumbu ya uhuru wa Zanzibar ni tarehe 10 December, 1963... Paschal unapotosha historia kwa manufaa yako binafsi au kwa manufaa ya nani hasa?
Kumbukumbu ni ya tukio la past lakini sherehe ni tukio la leo, present. Kumbukumbu ni ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana tarehe 9 Desemba 1961, la maadhimisho haya ya leo, no maadhimisho ya Tanzania na sio ya Tanganyika, na kwa vile Tanganyika haipa tena, iliyopo ni Tanzania Bara, then leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanzania Bara, wakati huo wa uhuru ilikuwa ikiitwa Tanganyika, sasa ni Tanzania Bara.

Iliyopata uhuru ni Tanganyika, sasa Tanganyika haipo ipo Tanzania, ni sherehe ya Tanzania.
P
 
Wanabodi!

leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika lakini maadhimisho na sherehe ni ya uhuru wa Tanzania!.

Kufuatia baadhi ya watu kuwa kwenye sintofahamu ni maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ama Tanzania?.

Hivyo nimejitolea kutoa somo hili ambalo naamini litakuwa ni very benefisho kwako.

Wajameni ni katika kukumbushana tuu kuwa maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania, na sio wa Tanganyika!.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali

Update;
Kiukweli humu jf, tuna vilaza wengi kuliko tunavyo jidhania!. Watu ni wazito kuelewa mpaka basi!.

Mkuu Mti wa Muwese, The Palm Tree , huu ndio uelewa wa baadhi ya Watanzania, wewe ukiwemo, halafu mkiambiwa ukweli mna uwezo finyu wa uelewa, mnakasirika.

You are absolutely right, kumbukumbu ni za uhuru wa nchi iliyokuwa Tanganyika, lakini maadhimisho ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania!.

Kuna mambo mawili.
1. Kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika.
2. Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania ambayo hapo zamani ilikuwa Tanganyika.

Sasa najaribu kukuelewesha kwa kutumia kiwango cha chekechea, usipoelewa sasa, utanisamehe bure.

Mfano,
  1. Kuna binti mmoja anaitwa Binti Mti wa Muwese, kila siku yake ya kuzaliwa anaisherehekea kama kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Binti Mti wa Muwese.
  2. Kila akisherehekea siku hiyo, ni sherehe za kukumbuka ile siku yake ya kuzaliwa, na anayesherehekea siku hiyo ni Binti wa Muwese.
  3. Ikatokea mimi Pasco Mayalla, nimempenda Binti Mti wa Muwese, nikamuoa, akabadili jina sasa haitwi tena Binti Mti wa Muwese, sasa anaitwa Mrs. Pasco Mayalla na nyumbani anaitwa Mama Junior, maana kanizalia kidume kinaitwa Pasco Junior.
  4. Siku ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Binti Mti wa Muwese, ila sherehe ni ya Mama Junior.
  5. Kumbukumbu ni ya kile kilichofanyika wakati kikifanyika, ni kumbukumbu ya kuzaliwa kale kachanga kalikoitwa Binti Mti wa Muwese, lakini sherehe, yaa birthday party, sio party ya binti Mti, ni party ya Mama Junior (Mrs Pasco)
Hivyo nchi iliyopata uhuru ile tarehe 9 Desemba 1961 ni Tanganyika, hivyo kumbukumbu ndio ya uhuru wa Tanganyika, lakini maadhimisho, sherehe, ni ya Tanzania, kwasababu yule Tanganyika amebadili jina na kuwa Tanzania Bara, kwa kifupi Tanzania.

P.
Acha kujitoa ufahamu, unataka wajukuu wako waje waamini upotoshaji wako? Nchi iliyopata uhuru ni Tanganyika na tutaendelea kuitaja Tanganyika, Kwani haikuondolewa kihalali.

Mbona Zanzibar ipo, kwanini Tanganyika isiwepo?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom