mwelemimmongo
Member
- Feb 16, 2021
- 95
- 75
Mimi binafsi huwa napingana na maswali ya walimu wanao uliza watoto maswali eti, tanzania ilipata uhuru wake 9.12.1961 hili si swali sahihi kwa wanafunziWanabodi
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania...