Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,269
- 2,024
Wadau nawasalimu.Leo ni tarehe 9 Desemba 2023 Miaka 62 toka Nchi yetu ipatiwe Uhuru wake kutoka kwa Mwingereza.
Kilichonishangaza ni kusikia kuwa Eti Leo ni Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA Nchi ambayo Binafsi Siijui ipo wapi inapatikana wapi ina ardhi ya ukubwa gani inapakana na Nchi ipi na Rais wake ni nani.
Kusema Tunasherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA ni Upotoshaji Mkubwa kwa kizazi hiki na Vizazi vijavyo kwani hakujawahi kuwa na NCHI HIYO ya TANZANIA BARA.
Nchi iliyopata UHURU Miaka 62 iliyopita ni TANGANYIKA na NCHI ya TANZANIA ilipatikana baada ya MUUNGANO wa TANGANYIKA(Nchi iliyopata Uhuru Miaka 62) ilipoungana na Nchi ya ZANZIBAR.
Nchi ya TANZANIA BARA Haipo na Haijawahi kuwepo.
Kilichonishangaza ni kusikia kuwa Eti Leo ni Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA Nchi ambayo Binafsi Siijui ipo wapi inapatikana wapi ina ardhi ya ukubwa gani inapakana na Nchi ipi na Rais wake ni nani.
Kusema Tunasherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA ni Upotoshaji Mkubwa kwa kizazi hiki na Vizazi vijavyo kwani hakujawahi kuwa na NCHI HIYO ya TANZANIA BARA.
Nchi iliyopata UHURU Miaka 62 iliyopita ni TANGANYIKA na NCHI ya TANZANIA ilipatikana baada ya MUUNGANO wa TANGANYIKA(Nchi iliyopata Uhuru Miaka 62) ilipoungana na Nchi ya ZANZIBAR.
Nchi ya TANZANIA BARA Haipo na Haijawahi kuwepo.