Timu zinataka mapato Waziri aache mambo ya ajabu. Kwani makundi mbona zilipita? Hao waliokuwa wanavaa jezi za timu pinzani hawakuwepo? Uzalendo haujengwi Kwa nguvu, wao tu umewashinda.Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?