Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Eti waingereza wameanza kuicheza 'mind-games' Chelsea Fc, wamesahau kocha ni Jose Mourinho?

Kwenye magazeti mengi ya Uingereza wanasema bingwa lazima awe Chelsea..:A S-eek:

mkuu kwani magazeti ndio yanapanga bingwa ??
 
nipo hapa kila siku; iwe shida iwe raha; wewe sema tu; ukichoka kalale.

CHELSEA FC - FOREVER.


Mkuu agosti 8 usikimblie kuita watu mamluki kwa maoni yao.
Mi kusema Arsenal imefanya usajili wa maana kwenye post yangu no 804 unaniona msaliti,he wakati huo chelsea mbali na diego imemsajili nani mwingine?kina fabrigas na wengine wamekuja baada ya post yangu,ndo maana nikasema wakati huu arsenal imefanya usajili wa maana kuliko chelsea.

hahahahhaaha,we jamaa sikuielewi pindi mtu anapoeleza mawazo au maoni yake unamwona msaliti kisa upo naye tu tofauti kimawazo,ushabiki wako kutopenda kukosolewa ni wa kidekteta mno
 
wenger-hercules.png



hivi wenger ni mzee au shida?
 
Kwani mkuu Viol wewe ni watu au ni mtu?
nani mwingine mshabikiwa wa Chelsea ambaye kaitwa mamluki?
watu wote humu tunaishi vizuri tu na wewe unajua; kuwekana sawa ni muhimu kwa mustakabali wa jukwaa letu hapa CHELSEA FC THREAD.


cc. Mentor, Ntuzu, chilumendo, Grand PA, FUSO, all chelsea fans. FOREVER BLUE.


Mkuu agosti 8 usikimblie kuita watu mamluki kwa maoni yao.
Mi kusema Arsenal imefanya usajili wa maana kwenye post yangu no 804 unaniona msaliti,he wakati huo chelsea mbali na diego imemsajili nani mwingine?kina fabrigas na wengine wamekuja baada ya post yangu,ndo maana nikasema wakati huu arsenal imefanya usajili wa maana kuliko chelsea.

hahahahhaaha,we jamaa sikuielewi pindi mtu anapoeleza mawazo au maoni yake unamwona msaliti kisa upo naye tu tofauti kimawazo,ushabiki wako kutopenda kukosolewa ni wa kidekteta mno






mkuu heshimu mawazo ya watu,usione wengine vichaa wanapotofautiana na ww kimawazo
 
nipo hapa kila siku; iwe shida iwe raha; wewe sema tu; ukichoka kalale.

CHELSEA FC - FOREVER.
jibu maswali ,uwe hapa hapa kila siku haina mana! mi kusema Chelsea haikufanya usajili mzuri kama arsenal wakati huo huo tetesi ya usajili wa chelsea ikimhusu Diego nimekuwa mamluki?]?heshimu mawazo ya watu na usijifanye we ndo mzalendo pekee wa Chelsea.
 
Kwani mkuu Viol wewe ni watu au ni mtu?
nani mwingine mshabikiwa wa Chelsea ambaye kaitwa mamluki?
watu wote humu tunaishi vizuri tu na wewe unajua; kuwekana sawa ni muhimu kwa mustakabali wa jukwaa letu hapa CHELSEA FC THREAD.

cc. Mentor, Ntuzu, chilumendo, Grand PA, FUSO, all chelsea fans. FOREVER BLUE.
weka umamluki wangu point hadi point maana umesema hakuna asiye jua,niambie hapa umekuwa mamluki.
 
this is you, Viol
tumekuwa tukichat hapa hapa na wewe unatambua mchango wangu hapa; ila kama vipi mjadala umefungwa sasa tuendelee kufikiria CHELSEA FC.

no time for personal issues au vipi Viol?


Ntunzu na agosti 8 mpo?kazi tuliyonayo ni kumfunga liverpool
 
Ushabiki wako kwa Chelsea fc ni 'average'..
Mkuu we lengo lako ni kuprove mi sio Chelsea kisa kupishana mawazo,hata hayo uliyoweka hapo hayana ushahidi,Mi ni Chelsea,na nitaipenda daima,kwahiyo kama nia yako ilikuwa kujiridhisha mimi si Chelsea kisa nauliza mambo kadhaa kwa undani na hupo tayari kujibu challange, basi umeshinda jipigie makofi,mi nitabaki kuwa chelsea hata lini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom