Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

basi angekuwa anaheshimu mawazo ya watu,....mfano ikatokea Samata akaitwa Chelsea,na mimi nikakuuliza ni vigezo gani au kwanini aitwe aje chelsea?huwezi kuniita mamluki,Jamaa hana busara kujibu hoja.

si muda mrefu tutafika 1000 pages..keep up the good job!
 
basi angekuwa anaheshimu mawazo ya watu,....mfano ikatokea Samata akaitwa Chelsea,na mimi nikakuuliza ni vigezo gani au kwanini aitwe aje chelsea?huwezi kuniita mamluki,Jamaa hana busara kujibu hoja.

unamfananisha DIEGO COSTA na Samatta? kufuru hizo...

ikitokea; mpaka itokee tutaongea kwa sababu bado haijatokea; DIEGO NI BORA KULIKO KA-SANCHEZ
 
basi angekuwa anaheshimu mawazo ya watu,....mfano ikatokea Samata akaitwa Chelsea,na mimi nikakuuliza ni vigezo gani au kwanini aitwe aje chelsea?huwezi kuniita mamluki,Jamaa hana busara kujibu hoja.

Mawazo ya akina nani yaliyopuuzwa?
Si kila hoja ikiletwa tunakubali; ukileta hoja nzuri tunagonga LIKE.
Ukileta hoja mbaya tunasema; ukianza kulalamika hapa haisaidii..kama wewe ni CHELSEA damu itabaki kuwa hivyo; kama wewe si Chelsea itabaki kuwa hivyo..hapa tunajadiliana tu..
 
unamfananisha DIEGO COSTA na Samatta? kufuru hizo...

ikitokea; mpaka itokee tutaongea kwa sababu bado haijatokea; DIEGO NI BORA KULIKO KA-SANCHEZ
nimetoa mfano na nimesema kabisa ni mfano,acha unafki
 

wewe unauliza vigezo tena?
sasa unaniuliza mie au unauliza CHELSEA FC.?



basi angekuwa anaheshimu mawazo ya watu,....mfano ikatokea Samata akaitwa Chelsea,na mimi nikakuuliza ni vigezo gani au kwanini aitwe aje chelsea?huwezi kuniita mamluki,Jamaa hana busara kujibu hoja.
 
ukijua hilo usikasirike mkuu; mpira ni burudani; hata ukiwa mchezaji wenzio wanaweza kukukosoa hupaswi kususa timu eti kwa sababu wengine hawakusikilizi au vipi?

Ukiendelea hivi sasa itadhihirika wazi kwamba kwa kweli kuna mtu 'mamluki' humu ndani..:angry::angry:

kwani huku kuna morinhno?unajua kabisa namwuliza nani

bwaaaaah we mnafki
 
usisititeshe mjadala kwa kukimbia huku ukiniita mi sio chelsea kisa umekosa point,point zako zipo mbili tu,mi kuchukia Diego kuja chelsea kwa kusema hana kiwango,baadaye we mwenyewe ukaleta post yangu nikisema sikujua dieo anajua hivi,baada ya kumwona akicheza kwenye chelsea,na nilisema Sanchez ni bora kuliko Diego na kwenye post zangu nilikuwa na-refer kombe la dunia,na Sanchez alionekana,Diego hakuonekana kombe la dunia na hakutisha,sasa mi kusema ukweli ndo nionekane si chelsea?ukanibishia Dieogo ni zaidi ya Sanchez(sikukataa maana sikuona game zake zaidi ya UEFA na world cup kama nilivyosema,na humu kuna post yangu pia nikisema kuwa sikutegemea kwamba Diego anajua (baada ya kumwona akifunga magoli chelsea),bado ukasema mi ni mamluki,nikakuambia haya ni mawazo yangu kwamba Sanchez ni zaidi ya Diego,nikakuuliza Je Diego ni bora kuliko Messi?na ningesema messi ni bora kuliko diego ungeniita mi mamluki?Heshimu mawazo ya watu ndugu.

nayaheshimu unayoposti; lakini ukileta stori za ajabu lazima nikuweke sawa;
ukitaka kafungue 'thread' ya kumsifia Sanchez lakini hapa si mahala pake hapa ni for CHELSEA FC.:wacko:

Kiwango cha juu cha unafki.

Usipanic mkuu Viol....sisi wote ni BLUE, Solidarity forever, wapinzani watatucheka. One love!

basi angekuwa anaheshimu mawazo ya watu,....mfano ikatokea Samata akaitwa Chelsea,na mimi nikakuuliza ni vigezo gani au kwanini aitwe aje chelsea?huwezi kuniita mamluki,Jamaa hana busara kujibu hoja.

Acha apaniki na kufoka atakavyo;

Mbivu na mbichi zitajulikana tu.
GREAT THINKER ni kuambiana ukweli. Post zetu wote ni ushahidi wa haya.
Hii ni CHELSEA FC THREAD mtu hawezi akaja hapa akasema SANCHEZ ni bora kuliko Costa alaf nimgongee LIKE.
Au Mtu asema Gerrard ni bora kuliko Terry nimgongee LIKE?

hakuna mambo ya hivyo..

si muda mrefu tutafika 1000 pages..keep up the good job!

Mawazo ya akina nani yaliyopuuzwa?
Si kila hoja ikiletwa tunakubali; ukileta hoja nzuri tunagonga LIKE.
Ukileta hoja mbaya tunasema; ukianza kulalamika hapa haisaidii..kama wewe ni CHELSEA damu itabaki kuwa hivyo; kama wewe si Chelsea itabaki kuwa hivyo..hapa tunajadiliana tu..


wewe unauliza vigezo tena?
sasa unaniuliza mie au unauliza CHELSEA FC.?



pwaaaaah HAHAHAHAHAHAHA UNAFKI MBAYA SANA

nimetoa mfano na nimesema kabisa ni mfano,acha unafki[/QUOTE]

sawa mkuu ..wewe ukiita wengine wanafiki, madikteta, hawana busara tunapaswa tukubali tu si ndiyo eeh?:angry:

kwani huku kuna morinhno?unajua kabisa namwuliza nani

bwaaaaah we mnafki

Haya mkimaliza kubishana kaeni mkijua emirates mnaoga goli za uhakika ndipo mamluki na wenye timi yao watajulikana

#COYG
 
ukijua hilo usikasirike mkuu; mpira ni burudani; hata ukiwa mchezaji wenzio wanaweza kukukosoa hupaswi kususa timu eti kwa sababu wengine hawakusikilizi au vipi?

Ukiendelea hivi sasa itadhihirika wazi kwamba kwa kweli kuna mtu 'mamluki' humu ndani..:angry::angry:

Hilo swali ndo ilikupasa ujiulize wewe,umeshindwa majibu niliyokuuliza,ukaanza kuniattack ukaacha hoja,umeona sana kero mi kusema Drogba alikuwa mkwepaji mzuri wa defenders hakabiki,ukasema Vialli,nikaweka na link kwamba viali alikuwa anachenga ndo anafunga na si kama drogba ambaye huwa madifender wanamsahau mara anafanya madhara,nikaweka na link yenye ushahidi baadala ya wewe kujibu kwa ushahidi na link ukaanza bla bla oooh hata diego costa ulisema hajui Sanchez ni bora,nikakuambia,Soma post langu niliyokanusha kuhusu kumponda Diego na nikasema kwamba Diego anaju na nilikuwa simfahamu vizuri ila kwenye assist na ufangaje wa chelsea nimemkubali but nilichukia wakati analetwa maana nilikuwa sijamwona vizuri zaidi ya world cup na Atlentico,ukaanza kuleta post nilizowahi kuweka nayo haionyeshi kama kuna ushahidi,na nikakuambia mifano kibao,chelsea ikimsajili samata na nikauliza kwanini wamsajili mi ni msaliti?au Chelsea imemsajili Diego na timu nyinginge wakamsajili Messi,je ni kosa mi kusema hiyo timu imemsajili mchezaji mzuri kisa tu mi chelsea nisiseme hivo?

agosti 8 huna hoja we ni mnafki sana na hupendi challange,vua huo ushabiki wako kwenye chelsea hamia kwingine.
upo low sana kushindwa kujibu maswali kama hayo kisha unaanza kuniponda,jipange upya,hata ungesema mi si chelsea mi bado ni chelsia,maana huwezi kusema mi si chelsea wakati hujui hata kujibu hoja,acha unafki.Tushabikie chelsea
 
Last edited by a moderator:
Mawazo ya akina nani yaliyopuuzwa?
Si kila hoja ikiletwa tunakubali; ukileta hoja nzuri tunagonga LIKE.
Ukileta hoja mbaya tunasema; ukianza kulalamika hapa haisaidii..kama wewe ni CHELSEA damu itabaki kuwa hivyo; kama wewe si Chelsea itabaki kuwa hivyo..hapa tunajadiliana tu..
inaweza ikawa hoja ya maana na usigonge LIKE,who care wakati hujielewi?
 
Kuna mashabiki mandazi wa Chelsea humu,yaani hata kuzungumzia ubora wa mchezaji anayechezea timu nyingine wanaona we msaliti,unafki unasumbua sana,siku huyo mchezaji chelsea wakimwuza au akajiondokea wanajifanya wanaponda.

Nikisema Sanchez anajua kuliko Diego haimaanishi mi mshabiki wa Arsenal,au nikisema Arsenal wamefanya usajili mzuri kumsajili Sanchez kuliko Chelsea kumsajili Diego haina maana mi Arsenal.

Mfano Simba wamsajili Messi,halafu Yanga wakamsajili Samata,kisha nikitoa hoja kuwa Messi waliomnunua Simba ni bora kuliko Samata aliyenunuliwa na Yanga,halafu unaleta bla blaaa wakati unajua Messi ni mchezaji bora wa dunia.
agosti 8 jipange umeniangusha sana upo low sana kwenye hili.
 
Last edited by a moderator:
Kupost sana picha ya wachezaji wakifunga magoli au kuwahi kuweka updates si kwamba we ni mzalendo!
either
1.Mzalendo au

2.Kiherehere
 
wee mkuu Grand PA ndo ulikuwa unaitwa Kidume?
jitambulishe upya mkuu..tunakupotea.:angry:

ndio mm mkuu, nilijivua gamba. huko kwnye majukwaa ya watu ban ziliniandama sana. ndio nimetoka kifungoni jana.

Grand PA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom