Hakuna mtu wa Chelsea Fc anayeweza kumdharau Droba, ndo maana hata juzi wakati wachezaji wanatambulishwa kabla ya mechi vs Real Sociedad "Simba Mzee" alishangiliwa sana...anapendwa na kukubalika.
Lakini hata siku moja usithubutu kudharau mchango wa watu wafuatao hapa CHELSEA FC, utakuwa mamluki:
1.Frank Lampard,
2. John Terry
3.Didier Drogba
4.Petr Cech
5.Makelele
6.Franco Zola # 25.
7.Gianluca Vialli
8.Jimmy Floyd Hasselbank
9.Ruud Gullit
10.Bobby Tumblin
11.Roberto Di Matteo # 16.
Hao watu wameacha alama zao CHELSEA FC.
Lakini hata siku moja usithubutu kudharau mchango wa watu wafuatao hapa CHELSEA FC, utakuwa mamluki:
1.Frank Lampard,
2. John Terry
3.Didier Drogba
4.Petr Cech
5.Makelele
6.Franco Zola # 25.
7.Gianluca Vialli
8.Jimmy Floyd Hasselbank
9.Ruud Gullit
10.Bobby Tumblin
11.Roberto Di Matteo # 16.
Hao watu wameacha alama zao CHELSEA FC.