chitalula
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,302
- 416
Acha kujidanganya wewe,ManUnited anahitaji droo,Chelsea anshitaji kushinda at least 2 bila.PSG wakija darajani itakuewa zamu ya Cahill kumfunga Petr Cech maana Luiz na Terry wao wameshafanikiwa kumfunga
sasa we si usubiri kwani j4 ni mbali ndugu, unaona kuwa hatuwezi kumfunga 2-0?