Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sio kwamba Kiungo mkabaji ndio anachangia
Kocha anachangia defence ikose chem istry nzuri.
Anawang'ang'ania akina Hato na Gusto bure tu.
Awatumie James/Fofana/Acheampong kwenye RCB
Lacroix na Colwill kwenye CCB
Kwenye LCB Colwill na asajiliwe defender January
Kwenye kiungo lazima Chelsea isajili kiungo wa kuleta tempo na kuweza kuthibiti kiungo na kuamua uchezaji uweje na kuongeza posesion ya mpira. Alonso aachane na kumtumia Gusto kwenye Kiungo, Jan uary Gusto auzwe tu
Hato apelekwe mkopo kwa sababu anauhitaji sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom