Hapa mtaani kwangu wamepotea, hasa Arsenal na Liverpool, aibu yao hawaonekani mtaani asubuhi ya kuamkia jana. Na naamini leo wakionekana watajifanya hakuna kilichotokea duniani kwa upande wa Chelsea.
Wao Arsenal walikuwa mstari wa mbele kuishambulia Chelsea na kuyaita mashindano ni pre-seaosn yenye kombe.
Liverpool wao walikuwa mstari wa mbele kuyashambulia haya mashindano wakidai ni mashindano ya hovyo kuwahi kutokea. Ila utashangaa mashindano ya 2029 watapambana kufa na kupona wawepo na kuzima data kana kwamba hawajawahi kuyadharau