Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wale wote wanaosema Maresca hana mbinu waje tubishane hapa
Huwa hatubishani ila huwa tunaeleweshana sababu hatuwezi kuwa na mawazo sawa ktk kujenga hoja za muelekeo wa timu ktk mapungufu yake na mazuri yake.

Maresca Coach plan ilifanikiwa vizuri sana ktk FIFA WORLD CLUB CUP FINAL 2025 na tunampongeza kwa kazi nzuri, tuna imani naye kuendelea na Chelsea FC kimafanikio zaidi ila haituzuii kumkosoa akifeli kwa makosa yasiyo na ulazima, na huo ndiyo utofauti kati ya Mpenzi na Mshabiki wa mpira.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kaunzia leo nafuta Kauli Sanchez sio pazia la Ngorika bus. Ni mashine ya kudaka sometimes huwa inahitaji service
Alijitahidi sana kwenye fainali za FIFA WORLD CLUB CUP 2025 na alistahili zawadi ila kuna famba 1 alilitoa nikasema ohooo...asiturudishe Misri tukashindwa kufika nchi ya asali na maziwa Kanani 🙆

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Delap anaonekana mkorofi sana msimu ujao anaweza kumvunja Saka mguu.
Miongoni mwa sajili bora sana zilizofanywa na Chelsea FC ni huyu Mwamba na Jao Pedro, bado sajili za mbadala wa James, Lavia, Mosses, Cucurella maana wanapiga kazi bila mapumziko na majeruhi ya mara kwa mara.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Miongoni mwa sajili bora sana zilizofanywa na Chelsea FC ni huyu Mwamba na Jao Pedro, bado sajili za mbadala wa James, Lavia, Mosses, Cucurella maana wanapiga kazi bila mapumziko na majeruhi ya mara kwa mara.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ni sahihi, ngoja waje kina Gittens na Estavio nao tuwaone mchango wao
 
Cheki hilo jicho la mmiliki wa PSG Nasser Al-Khelaifi kwa Cole Palmer. Je anaweza akaja kumchukua kwa bei kufuru?
1752577506609.png
 
Huwa hatubishani ila huwa tunaeleweshana sababu hatuwezi kuwa na mawazo sawa ktk kujenga hoja za muelekeo wa timu ktk mapungufu yake na mazuri yake.

Maresca Coach plan ilifanikiwa vizuri sana ktk FIFA WORLD CLUB CUP FINAL 2025 na tunampongeza kwa kazi nzuri, tuna imani naye kuendelea na Chelsea FC kimafanikio zaidi ila haituzuii kumkosoa akifeli kwa makosa yasiyo na ulazima, na huo ndiyo utofauti kati ya Mpenzi na Mshabiki wa mpira.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Nyuma niliwaambia huyu kocha mgeni machanga na atakomalia hapa hapa Chelsea kama PEP alivyokomalia Barcelona 2008 kwenda mbele
 
Miongoni mwa sajili bora sana zilizofanywa na Chelsea FC ni huyu Mwamba na Jao Pedro, bado sajili za mbadala wa James, Lavia, Mosses, Cucurella maana wanapiga kazi bila mapumziko na majeruhi ya mara kwa mara.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Sema Delap kukosa kufunga goli hata moja kazingua sana, kuna nafasi za wazi alipata akashindwa kuzitumia, kuna moja alikua yeye na kipa tu halafu kipa mwenyewe alikua amejaa upande mmoja lakini akashindwa kutikisa nyavu.
Delap ni foward mzuri ila angefunga kwenye ile fainali ingemuongezea sana confidence.
images-27.jpg
 
Nyuma niliwaambia huyu kocha mgeni machanga na atakomalia hapa hapa Chelsea kama PEP alivyokomalia Barcelona 2008 kwenda mbele
Ni kweli ila si kila unachotuambiaga kizuri hutimia vile vile na ulivyokuwa ukitaka.

Mfano ni jinsi ulivyokuwa ukiwatetea makocha Harry Potter, Frank Lampard na wachezaji Mudriyk, Jackson, Odoi na Madueke ni bora kiuwezo ila mambo yakawa tofauti kabisa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Sema Delap kukosa kufunga goli hata moja kazingua sana, kuna nafasi za wazi alipata akashindwa kuzitumia, kuna moja alikua yeye na kipa tu halafu kipa mwenyewe alikua amejaa upande mmoja lakini akashindwa kutikisa nyavu.
Delap ni foward mzuri ila angefunga kwenye ile fainali ingemuongezea sana confidence. View attachment 3406757
Ni kweli ila hata uwezo wa kuwapunguza Wachezaji wawili hadi watatu ilihali akikokota mpira kwa kasi nayo ni chachu nzuri sana ktk kuwa tishio la timu pinzani.

Nafasi 1 ilitolewa na kipa na nafasi ya pili alikosa umakini kwa kutosogeza mbele zaidi mpira baada ya kumtoka kipa ili atikise nyavu lakini naamini akiendelea na munkari wa namna hii ni striker mzuri sana kuliko akina Jackson 10.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
ule ni muujiza, Mimi hata sikutegemea niwe mkweli, nilishajikatia zangu tamaa..!!
Unakataje tamaa nakati Chelsea FC na Yanga FC ndiyo timu zinazoshangazaga dunia kimatokeo ndiyomaana umekuwa Mlibwende hivyo tokana na raha unazopewa kila siku kwa hizo timu mbili?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ni kweli ila si kila unachotuambiaga kizuri hutimia vile vile na ulivyokuwa ukitaka.

Mfano ni jinsi ulivyokuwa ukiwatetea makocha Harry Potter, Frank Lampard na wachezaji Mudriyk, Jackson, Odoi na Madueke ni bora kiuwezo ila mambo yakawa tofauti kabisa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mchezaji anatetewa hadi upgrade yake ipatikane. Hakuna anaendelea kumtetea mchezaji hata kama ana prpspect ya kuwa mzuri. Jackson na Madueke watakuja kuwa wachezaji wazuri sana iwe ndani ya Chelsea au nje ya Chelsea ila kwa sasa tunaye Joao Pedro na Liam Delap mambao ni upgrade ya Nicolas Jackson na Pembeni tunaye Jamie Gittens, Estevao Willian, Pedro Neto wote hao ni upgrade ya Madueke, kwani kesi hapo ipo wapi
 
Ni kweli ila si kila unachotuambiaga kizuri hutimia vile vile na ulivyokuwa ukitaka.

Mfano ni jinsi ulivyokuwa ukiwatetea makocha Harry Potter, Frank Lampard na wachezaji Mudriyk, Jackson, Odoi na Madueke ni bora kiuwezo ila mambo yakawa tofauti kabisa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Hata mpaka sasa Akipatikana upgrade ya Maresca tutaacha kumuunga mkono Maresca na tutahamia kwa huyo kocha mpya ndio mpango mzima wa kushabikia mpira sio wewe unakuwa negative hadi kwenye nchi ya ahadi 😀
 
ule ni muujiza, Mimi hata sikutegemea niwe mkweli, nilishajikatia zangu tamaa..!!
Wewe siku nyingine ukumbuke hizi facts kuhusu Chelsea "The Blues" na ikutie moyo
  1. Wakati dunia nzima ikiwa kinyume na Chelsea wao ndio wanaibuka na kwenda kinyhume na Dunia
  2. Wakati Dunia nzima ikiwaita "Underdogs" wao ndio wanaangusha mijitu :Giants"
  3. Chelsea ikijitahidi kwa mbinde hadi fainali, basi hapo jua tu lazima Goliati aangushwe hata kama ni kwa kombeo
 
Miongoni mwa sajili bora sana zilizofanywa na Chelsea FC ni huyu Mwamba na Jao Pedro, bado sajili za mbadala wa James, Lavia, Mosses, Cucurella maana wanapiga kazi bila mapumziko na majeruhi ya mara kwa mara.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Wote hao uliowataja wanambadala kasoro tu Cucurella, James for Malo gusto kocha aliamua game ile acheze midfielder but ni RB ndio atacheza mechi nyingi, Lavia au Caicedo wapo Essugo na Santos
 
Mchezaji anatetewa hadi upgrade yake ipatikane. Hakuna anaendelea kumtetea mchezaji hata kama ana prpspect ya kuwa mzuri. Jackson na Madueke watakuja kuwa wachezaji wazuri sana iwe ndani ya Chelsea au nje ya Chelsea ila kwa sasa tunaye Joao Pedro na Liam Delap mambao ni upgrade ya Nicolas Jackson na Pembeni tunaye Jamie Gittens, Estevao Willian, Pedro Neto wote hao ni upgrade ya Madueke, kwani kesi hapo ipo wapi
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom