Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vigezo gani wanatumia kupata team zinazoshiriki
Bingwa wa UEFA kuanzia 2025 hadi 2028
Timu 8 zenye coeficient kubwa wataungana na mabingwa wanne kama ni tofauti wa kila mwaka
Kwa sasa timu ambayo imfunzu kwenye michuano hiyo kama ilivyokuwa Chelsea 2021 ni PSG kwa sababu wao ndio mabingwa wa 2025
Nchi mwenyeji pia inanafasi moja
 
Points kutokana na performance za kwenye international tournament kwa miaka minne kabla ya kuchezwa kombe la dunia.

Wakuu watakuja kuelezea vzr namna ya kuzipata hizo points Mpaka kucheza kombe la dunia
Mabingwa wa UEFA 4 kuanzia 2025 - 2028
Club zenye coeficient kubwa kwenye mashindano ya UEFA
Nchi inayoandaa mashindano ina nafasi moja pia
Kwa mabara mengine utaratibu ni huo huo ila idadi ya timu inapungua
Ulaya ndio bara lenye timu 12
Kwa mtindo huu tayari PSG wameshafunzu
 
Bingwa wa UEFA kuanzia 2025 hadi 2028
Timu 8 zenye coeficient kubwa wataungana na mabingwa wanne kama ni tofauti wa kila mwaka
Kwa sasa timu ambayo imfunzu kwenye michuano hiyo kama ilivyokuwa Chelsea 2021 ni PSG kwa sababu wao ndio mabingwa wa 2025
Nchi mwenyeji pia inanafasi moja
Je kwa Chelsea nayo imefuzu moja kwa moja kwa kuchukua kombe hili
 
Marc Cucurella, Enzo Fernandez, Pedro Neto na Cole Palmer kwenye timu bora kabisa ya Dunia

1752500464718.png
 
Joao Pedro ameshinda bila kuwa na locker Cobham wala hajawahi fanya mazoezi Cobham na wala haijui dressing room ya Chelsea
Gittens atawalaumu sana Dortmund kwa kumnyima
Sancho huko aliko anamlaumu agent wake
Wapigeni tena Nyumbu £65m nyingine kwa Nkunku halafu mkachukue mashine nyingine pale Spurs Pedro Porro ili mkamilishe utatu mtakatifu wa kina Pedro (Pedro Neto, Joao Pedro na Pedro Porro)
 
Kumbe unaongelea wapinzani wetu
Yaani jana ilikuwa ni Chelsea dhidi ya Dunia nzima, walitunyanyasa sana, walitutukana, wakasema sisi ni mess sasa hivi hao pundits uchwara wako wapi. So ile fainali haikuwa dhidi ya PSG, wala wao hawana makosa kabisa ila Dunia iliyokuwa against Chelsea mara timu ya mabilioni, wachezaji wengi, watoto wadogo. Project itaishia kufeli. Baada ya Chelsea kushinda jana dunia imekaa kimya.

Hawa jamaa Gary Neville na Jamie Carraghe Paul Scholes na wale wa ESPN na wale wa TalkSport
Pat Nevin tu ndie alikuwa upande wa Chelsea
1752506502272.png

1752506566359.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom