Unamaana ganiChelsea hawakustahili kufika fainali ila wamestahili kushinda fainali.
Points kutokana na performance za kwenye international tournament kwa miaka minne kabla ya kuchezwa kombe la dunia.Vigezo gani wanatumia kupata team zinazoshiriki
Arsenyeto bhana 😂 watu humu tunasheherekea ubingwa, Ww unakuja na mambo ya usajiliView attachment 3405551
Mmejipanga lakini majirani? Maana hamtakutana na Madueke kama mnavyodhania
Kule mnakuja kumsifia Madueke kama ndiye leader wa safu yetu ya ushambuliajiArsenyeto bhana 😂 watu humu tunasheherekea ubingwa, Ww unakuja na mambo ya usajili
Ana CV kubwa kuliko wachezaji wote wa arsenyeto, ana medali ya kombe la dunia, em nionyeshe mchezaji wa arsenyeto mwenye hy medali 😂Kule mnakuja kumsifia Madueke kama ndiye leader wa safu yetu ya ushambuliaji
Mtakutana sasa na wanaozitaka medali halisi sio hayo makashasha ya pre seasonAna CV kubwa kuliko wachezaji wote wa arsenyeto, ana medali ya kombe la dunia, em nionyeshe mchezaji wa arsenyeto mwenye hy medali 😂
YA kwenu ambazo sio za pre season ziko wapi?Mtakutana sasa na wanaozitaka medali halisi sio hayo makashasha ya pre season
Hatujaanza pre season ila tutashiriki kikombe fulani hivi hakina tofauti na hicho. Tutakichukua ila tutakiweka store sio kabatini.YA kwenu ambazo sio za pre season ziko wapi?
Hatujaanza pre season ila tutashiriki kikombe fulani hivi hakina tofauti na hicho. Tutakichukua ila tutakiweka store sio kabatini.
Hayo yote hatukushiriki. Lipi hapo tulishiriki wote then ukabeba
Europa 😂Hayo yote hatukushiriki. Lipi hapo tulishiriki wote then ukabeba
Kipindi hiki achana na zama zile za ujingaEuropa 😂
Kipigo kipo pale pale, tuliaKipindi hiki achana na zama zile za ujinga