Nafasi ya pili au tatu Chelsea.
Bingwa ni City
Naona mabingwa wameamua kujipiga ban
Naona mabingwa wameamua kujipiga ban
City alipata hizo goli nne?mkuu we ni wa wapi, hivi unajua arsenal leo ndio anacheza na shitty? sasa atafaidikaje hapo arsenal.sana sana ajitahidi kupunguza goli ziwe angalao nne.
Jaslaws ina maana hujaona mechi ya arsenal? Imetuweka bado kwenye ushindani wa kombe hilo. Hivyo hatuna wasiwasi sana. Anything is possible.Naona leo wadau wa jukwaa lao wanachungulia tu..mentor njoo uku utwambie mtakavo tangaza ubingwa baada ya mech ya liverpool..
HAPA UMEJITAHIDI KUONGEA HOJA ZA MAANA KIDOGO.
KABLA YA MWANITESA UNITED KUMPATA MATA WAMEWAHI KUSAJILI KWA REKODI SEMA NDO ZIMEVUNJWA NA HUYO MATA. UNAKUMBUKA USAJILI WA RIO FERDINAND KUTOKA LEEDS UNITED?
RAHA YA SHABIKI WA MPIRA NI USHINDI NA MATAJI. SASA KAMA UMRI WANGU WOTE WA KUTAZAMA MPIRA LIVE. 1993-2014 TIMU YANGU CHELSEA FC IMEKUWA IKIFANYA VIZURI KWA NINI NIUMIE NA REKODI ZENU ZA MIAKA YA 1960? HAYO NAWAACHIA NYIE.
LEO HII TUNAFIKISHA POINTI 72. UBINGWA UNAKUJA WENYEWE WEST LONDON.(SW):nod::nod:
kila mtu apambane ki-vyake vyake tu!
sisi jumamosi tunafikisha 72. Hakuna njia nyingine ni kushinda tu;
najua nyinyi LIVERPOOL pamoja na ARSENAL mtasidia sisi CHELSEA tupate ubingwa msimu huu.
mkimfunga MAN CITY mnatusaidia sisi.:nod:
Mkuu Wacha1 wacha kujidanganya. Unazioa hizo picha mbili hapo kati? Zinaelezea everything Scholes said....Arsenal ya sasa haina wachezaji kama hao...HAINA! Na ni kwa sababu hiyo (in as much as natamani muwafunge man city..kwa manufaa yetu ofcourse) ninajua hamna uwezo huo kwa sasa.
Wenger hakutakiwa kumjibu Scholes kwa maneno...ila vitendo! :nod:
Hata Morinho leo alipohojiwa alisema bado kuna uwezekano mkubwa wa kupita but it depend hasa kwenye matokeo ya mechi za timu zingineJaslaws ina maana hujaona mechi ya arsenal? Imetuweka bado kwenye ushindani wa kombe hilo. Hivyo hatuna wasiwasi sana. Anything is possible.
jumamosi ya leo 29/03/2014 au jumamosi ijayo???