walio simama
di mateo,leebouf,desaily,poyet na ed goey
walio chuchuma.
wear,merchiot,didier deschamps,captain wise,babayaro na skills master giafranco zora...daaaa kitambo sana hawa watu.1997-2003.
Kipindi hicho amna hata kikombe cha kunywea maji kudadadeki.
Mmejificha mapema
Nimekaa nikafikri vizimbuzi vyangu vitanionyesha The Blues kumbe RM Vs DOR. Mnaoona huko vipi? Tuunganisheni moja kwa moja huko
Chelsea 0 PSG 1
Chelsea wamepata penalti wamefunga
1-1
Kwakuwa mimi ni mpenzi wa EPL naombea mtani wangu apite atleast tuwakilishe semi final league yetu