Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

nyie mnaubabe upi kwa Liverpool MKUU hembu bwaga hapa jamvini huo ubabe basi.

kuanzia Chelsea na Liverpool zinakutana kwa Mara ya kwanza


Kijana LEGE, msimu huu 2013/2014 mechi ya kwanza iliyochezwa London; CHELSEA 2 - 1 LIVERPOOL FC.

Kijana LEGE, msimu wa 2001/2002 mechi iliyochezwa jumapili tarehe 16 mwezi 12, CHELSEA 4- 0 LIVERPOOL FC.
Magoli 4 yalifungwa na wafuatao:
1. Le Saux(beki wa kushoto)
2. Hasselbaink
3. Dalla Bona
4. Gudjohnsen

Huo ni ushindi mkubwa zaidi katika mechi kati ya Chelsea vs Liverpool kwa miaka 15 iliyopita.
Ukitaka ubabe zaidi uliza utajibiwa fasta sana.:fencing:
 
Kijana LEGE, msimu huu 2013/2014 mechi ya kwanza iliyochezwa London; CHELSEA 2 - 1 LIVERPOOL FC.

Kijana LEGE, msimu wa 2001/2002 mechi iliyochezwa jumapili tarehe 16 mwezi 12, CHELSEA 4- 0 LIVERPOOL FC.
Magoli 4 yalifungwa na wafuatao:
1. Le Saux(beki wa kushoto)
2. Hasselbaink
3. Dalla Bona
4. Gudjohnsen

Huo ni ushindi mkubwa zaidi katika mechi kati ya Chelsea vs Liverpool kwa miaka 15 iliyopita.
Ukitaka ubabe zaidi uliza utajibiwa fasta sana.:fencing:

hakawii kukuambia sijui mwaka 1870 livepool ilishinda goli 6....hizi timu za historia ..sisi The Bluez tunatoa vichapo currently ...hatuhitaji ku refer mafaili kukumbushia vipigo tunavyogawa
 
Umejitahidi kuzungumza. LAKINI nasikitishwa na ukosefu wako wa busara. Kwa nini uanze na dhihaka kama kweli wewe ni mtu wa mpira? Pili kwani wewe ni msemaji wa ARSENAL, LIVERPOOL, MAN UNITED NA ASTON VILLA?

LIVERPOOL ilikuwa na makombe 18 wakati MAN UNITED ina 7 mkazubaa hadi mkafikiwa na kupitwa. Tupeni muda..huu ni muda wetu sasa tulieni tulii.

Kuhusu Academy hakuna timu inayokosa: Moja wapo ya wachezaji wa Academy ambao hucheza timu kubwa ni Nathan Ake..
Ukitaja wengi zaidi na mie ntataja..niko tayari maana huninyimi usingizi:
Suarez-Sturrage-Kipa Simon-Courtinho-Kolo toure-Martin Skirtel- wote wametoka ACADEMY YA LIVERPOOL?

tatizo la LIGI YA UINGEREZA ni timu zote;..timu zote kubwa zinanunua hazitegemei SANA academy kwa sasa. Tatizo lenu hamna hela ya kununua wachezaji nyie watu wa LIVERPOOL mlishindwa kumsajili MO SALAH kwa Milioni 11 tu. Poleni.:eyebrows:
Huwa nacheka sana kila nikipitia Comments za Hawa Plastic fans wa ChelShiT waliojazana humu, Mr. Agost 8, nakubaliana na wewe kuwa Liverpool haijafanikiwa kuchukua League title yyte tangu iitwe PREMIER LEAGUE, imepita miaka 23 nadhan mpk sasa, lakin naomba na wewe ukumbuke kuwa ilipita miaka 50 mpaka ukaja kubeba league msimu wa 2004/2005, after a massive investment, lakin tunavyozungumzia ubabe wa kwenye league titles huna ubavu hata kidogo mbele ya hiyo Livepool, Man u, Arsenal, Aston villa, everton na sunderland, Records zinaonyesha tangu team yako imeanzishwa miaka ya 1900's mpaka sana imefanikiwa kubeba only 4 league titles, na kwa ujumla kabsa Una total ya makombe 26 tu ukijumlsha kwa mashindano yte uliyoshiriki, Liverpool wana 60, Man U wana 62, Arsenal wana 39, na ndo maana hata ufanyaje Man u na Liverpool zitabakia kuwa team KUBWA na Zenye MAFANIKIO zaidi locally and international pale Uingereza, ikifatiwa na Arsenal, ambayo naweza nkasema umeipta kidogo internationaly, but locally Arsenal anabakia kuwa BABA ako hata ufanyaje..Na ndiyo Mlitupa MOSES kwa mkopo lakin ameshindwa kufurukuta mbele ya Mtoto mdg kutoka Academy Raheem Sterling, Na team yoyote ile Kubwa lazima iwe na HAZINA kubwa sana ya Vijana wadogo kutoka Academy, Ambao wanaweza wakapandshwa team kubwa na wakaperform, Kwa mfano liverpool kuna kina Gerrard, Carragher, owen, na sasa ni Raheem, Flanagan, Suso, Brad Smith, Martin Kelly and many more, Arsenal wapo kina Wilshere, Zelalem Na wengne kibao, Madrid wapo kina morata, jesse rodriguez, Varane na wengneo, Barcelona ndo usiseme aisee, Lakin ChelShit nahis tangu atokee JT sijaona mwingne bado aisee...Mnategemea kuspend BIG kwa baadh ya wachezaj ambao kwa team nyngne wangenunuliwa kwa bei ya kawaida sana...Huwa najiulza
 
Mwache aja mkuu nimchane chane;

Katika historia sisi CHELSEA tuliwafungwa LIVERPOOL mwaka 1938 magoli 6-1. mkuu Kalou sisi kufunga watu magoli mengi mengi hatujaanza leo.

tulimfunga GALATASARAY 5-0 mwaka 2000.
tulimfunga MANCHESTER UNITED 5-0 mwaka 2000.
tulimfunga MANCHESTER CITY 6-0 mwaka 2008.
tulimfunga SPURS mwaka 5-1 mwaka 2012.
tumemfunga ARSENAL(rekodi mpya) 6-0 mwaka huu 2014.

CHELSEA FC THE CHAMPIONS.:nod:
hakawii kukuambia sijui mwaka 1870 livepool ilishinda goli 6....hizi timu za historia ..sisi The Bluez tunatoa vichapo currently ...hatuhitaji ku refer mafaili kukumbushia vipigo tunavyogawa
 
nenda kwenye kwenye website(tovuti) rasmi ya UEFA au andika UEFA BEST TEAMS RANKINGS matokeo yako hivi kwa ULAYA NZIMA:

TIMU BORA TANGU MWAKA 2009 - 2014.

1. FC BARCELONA.
2. REAL MADRID.
3. BAYERN MUNICH.
4. CHELSEA FC.:biggrin1:
5. MANCHESTER UNITED.
6. SL BENFICA.
7. ARSENAL FC.
8. CLUB ATLETICO DE MADRID.
9. VALENCIA.
10. FC PORTO.
32. LIVERPOOL FC.
:shocked:
nyie mnaubabe upi kwa Liverpool MKUU hembu bwaga hapa jamvini huo ubabe basi.

kuanzia Chelsea na Liverpool zinakutana kwa Mara ya kwanza
 
Huwa nacheka sana kila nikipitia Comments za Hawa Plastic fans wa ChelShiT waliojazana humu, Mr. Agost 8, nakubaliana na wewe kuwa Liverpool haijafanikiwa kuchukua League title yyte tangu iitwe PREMIER LEAGUE, imepita miaka 23 nadhan mpk sasa, lakin naomba na wewe ukumbuke kuwa ilipita miaka 50 mpaka ukaja kubeba league msimu wa 2004/2005, after a massive investment, lakin tunavyozungumzia ubabe wa kwenye league titles huna ubavu hata kidogo mbele ya hiyo Livepool, Man u, Arsenal, Aston villa, everton na sunderland, Records zinaonyesha tangu team yako imeanzishwa miaka ya 1900's mpaka sana imefanikiwa kubeba only 4 league titles, na kwa ujumla kabsa Una total ya makombe 26 tu ukijumlsha kwa mashindano yte uliyoshiriki, Liverpool wana 60, Man U wana 62, Arsenal wana 39, na ndo maana hata ufanyaje Man u na Liverpool zitabakia kuwa team KUBWA na Zenye MAFANIKIO zaidi locally and international pale Uingereza, ikifatiwa na Arsenal, ambayo naweza nkasema umeipta kidogo internationaly, but locally Arsenal anabakia kuwa BABA ako hata ufanyaje..Na ndiyo Mlitupa MOSES kwa mkopo lakin ameshindwa kufurukuta mbele ya Mtoto mdg kutoka Academy Raheem Sterling, Na team yoyote ile Kubwa lazima iwe na HAZINA kubwa sana ya Vijana wadogo kutoka Academy, Ambao wanaweza wakapandshwa team kubwa na wakaperform, Kwa mfano liverpool kuna kina Gerrard, Carragher, owen, na sasa ni Raheem, Flanagan, Suso, Brad Smith, Martin Kelly and many more, Arsenal wapo kina Wilshere, Zelalem Na wengne kibao, Madrid wapo kina morata, jesse rodriguez, Varane na wengneo, Barcelona ndo usiseme aisee, Lakin ChelShit nahis tangu atokee JT sijaona mwingne bado aisee...Mnategemea kuspend BIG kwa baadh ya wachezaj ambao kwa team nyngne wangenunuliwa kwa bei ya kawaida sana...Huwa najiulza


UEFA BEST TEAMS RANKING 2009 - 2014.

1. FC BARCELONA
2. REAL DE MADRID
3. BAYERN MUNICH
4. CHELSEA FC :biggrin1:
5. MANCHESTER UNITED
6. SL BENFICA
7. ARSENAL
8. CLUB ATLETICO DE MADRID
9. VALENCIA
10. FC PORTO.

32. LIVERPOOL FC.:shocked:


kwa uthibitisho huo wa UEFA na wala siyo maneno yako ni kweli kwamba CHELSEA ndo timu bora kutoka UINGEREZA kwa miaka yote tangu 2009 hadi sasa.:nod:
 
safi sana

Unajitia aibu bure.. hivi kwa lipi unaweza kuifananisha liverpool na chelsea..?kma kweli unapenda mpira u bettr kip quite unajidharirisha tu iwonder chelsea umeanza kuifatilia lini,wewe utakua unafata mkumbo tu wakuishabikia hii timu ,otherwise umezaliwa baada ya 2000..
 
UEFA BEST TEAMS RANKING 2009 - 2014.

1. FC BARCELONA
2. REAL DE MADRID
3. BAYERN MUNICH
4. CHELSEA FC :biggrin1:
5. MANCHESTER UNITED
6. SL BENFICA
7. ARSENAL
8. CLUB ATLETICO DE MADRID
9. VALENCIA
10. FC PORTO.

32. LIVERPOOL FC.:shocked:


kwa uthibitisho huo wa UEFA na wala siyo maneno yako ni kweli kwamba CHELSEA ndo timu bora kutoka UINGEREZA kwa miaka yote tangu 2009 hadi sasa.:nod:
hivi uoni hata aibu kuweka hizo data.? liverpool aijacheza uefa for almost 3 yrs wewe huna hata mwaka umebaba kombe ila bado umepitwa na madrid..?jipange usiokoteleza data na kutuletea hapa...now the king of big eared cup is back wachawitashika sana mapumbu.
 
UEFA BEST TEAMS RANKING 2009 - 2014.

1. FC BARCELONA
2. REAL DE MADRID
3. BAYERN MUNICH
4. CHELSEA FC :biggrin1:
5. MANCHESTER UNITED
6. SL BENFICA
7. ARSENAL
8. CLUB ATLETICO DE MADRID
9. VALENCIA
10. FC PORTO.

32. LIVERPOOL FC.:shocked:


kwa uthibitisho huo wa UEFA na wala siyo maneno yako ni kweli kwamba CHELSEA ndo timu bora kutoka UINGEREZA kwa miaka yote tangu 2009 hadi sasa.:nod:
hivi uoni hata aibu kuweka hizo data.? liverpool aijacheza uefa for almost 3 yrs wewe huna hata mwaka umebaba kombe ila bado umepitwa na madrid..?jipange usiokoteleza data na kutuletea hapa...now the king of big eared cup is back wachawi mtashika sana mapumbu.
 
Mkuu Agost 8, hizo ranks za UEFA ni za kuanzia 2009-2014, kipind hicho tulikuwa tunaizungumzia liverpool ambayo haikuweza kufuzu UCL kwa misimu kama mitatu mfululizo aisee, asa ntakushangaa kama utatumia hicho kigezo kama utetezi wako kuhusu Clubs zenye MAFANIKIO uingereza, ntakuwa syo shabik madhubut wa mpira kama ntafananisha ubora wa Liverpool ya mwaka 2009-2012 na 2013 mwanzon, Chelsea yenu ya Vipind hivyo, coz perfomance yenu ilikuwa ni ya hali ya juu, mpaka mkaishangaza Dunia kwa kuchukua UCL kwa mara ya kwanza mbele ya Bayern, kwa maana hyo bas hata tukiamua kufatilia Uefa ranks za kuanzia 2000's mpaka 2008, zingekuwa tofaut kabisa na za sasa, kwasababu mpira unabadilika kila kukicha Mkuu, nadhan utakubaliana na mimi kuwa hukutegemea kama Atletico Madrid kusumbua kias hiki kule Spain, au hukutegemea kama AC Milan, one of the biggest club katka european football history, ingepotea kiasi hiki kule Italy (na stegemei kama utakuja kunambia kuwa Chelsea ina Mafanikio kuliko Ac milan), hukutegemea kama Everton baada ya kupotea kwa mda mrefu, sahv wangekuwa wanacompete kuingia top4, au hukutegemea pamoja na Man U, kubadilisha Kocha, ingetetereka kias hiki, MABADILIKO ni sehem ya Soccer, ndo maana ranks za Clubs na nation teams huwa znabadilika kila siku kulingana na PERFOMANCE ya Clubs na national teams..Naomba tu ukubaliane na mimi kuwa Bado unahitaj nguvu na kupanda mlima mrefu sana kuyafikia mafanikio ya clubs kama Man U, Liverpool na Arsenal pale ENGLAND...
 
Miaka mitatu ambayo hakucheza ni kwa sababu TIMU MBOVU HIYO.
hakukatazwa kucheza isipokuwa timu mbovu. Kama unapenda kutukana watukane UEFA wao ndo wanaweka hizo rekodi sawa..ama sivyo hujalazimishwa kukoment humu nenda kwenye jukwaa la jokes. Matusi ya nini sasa?:fencing:
hivi uoni hata aibu kuweka hizo data.? liverpool aijacheza uefa for almost 3 yrs wewe huna hata mwaka umebaba kombe ila bado umepitwa na madrid..?jipange usiokoteleza data na kutuletea hapa...now the king of big eared cup is back wachawi mtashika sana mapumbu.
 
KWA NINI LIVERPOOL HAIKUWEZA KUFUZU AU KUSHIRIKI? REKODI ZA ZENYEWE ZIMEANZA NOVEMBA 2009. SIKUPANGA MIMI WANAPANGA WENYE MPIRA WAO uefa. HESHIMU MAONI YA WENZAKO LA SIVYO KAA KIMYA.:tape:
Mkuu Agost 8, hizo ranks za UEFA ni za kuanzia 2009-2014, kipind hicho tulikuwa tunaizungumzia liverpool ambayo haikuweza kufuzu UCL kwa misimu kama mitatu mfululizo aisee, asa ntakushangaa kama utatumia hicho kigezo kama utetezi wako kuhusu Clubs zenye MAFANIKIO uingereza, ntakuwa syo shabik madhubut wa mpira kama ntafananisha ubora wa Liverpool ya mwaka 2009-2012 na 2013 mwanzon, Chelsea yenu ya Vipind hivyo, coz perfomance yenu ilikuwa ni ya hali ya juu, mpaka mkaishangaza Dunia kwa kuchukua UCL kwa mara ya kwanza mbele ya Bayern, kwa maana hyo bas hata tukiamua kufatilia Uefa ranks za kuanzia 2000's mpaka 2008, zingekuwa tofaut kabisa na za sasa, kwasababu mpira unabadilika kila kukicha Mkuu, nadhan utakubaliana na mimi kuwa hukutegemea kama Atletico Madrid kusumbua kias hiki kule Spain, au hukutegemea kama AC Milan, one of the biggest club katka european football history, ingepotea kiasi hiki kule Italy (na stegemei kama utakuja kunambia kuwa Chelsea ina Mafanikio kuliko Ac milan), hukutegemea kama Everton baada ya kupotea kwa mda mrefu, sahv wangekuwa wanacompete kuingia top4, au hukutegemea pamoja na Man U, kubadilisha Kocha, ingetetereka kias hiki, MABADILIKO ni sehem ya Soccer, ndo maana ranks za Clubs na nation teams huwa znabadilika kila siku kulingana na PERFOMANCE ya Clubs na national teams..Naomba tu ukubaliane na mimi kuwa Bado unahitaj nguvu na kupanda mlima mrefu sana kuyafikia mafanikio ya clubs kama Man U, Liverpool na Arsenal pale ENGLAND...
 
punguza ubishi kubali matokeo:

kuwa wa kwanza darasani si lazima uwe wa kwanza mtihani wa taifa.
hizo ni takwimu za UEFA kulingana na mashindano yanayosimamiwa na UEFA. tua kisha fikiri kabla ay kubisha tuu.
Mashindano ya UEFA = champions league na europa league.

sasa kama timu yako HAINA UWEZO WA KUSHIRIKI usinichukie mimi.:eyebrows:
Mkuu Agost 8, hizo ranks za UEFA ni za kuanzia 2009-2014, kipind hicho tulikuwa tunaizungumzia liverpool ambayo haikuweza kufuzu UCL kwa misimu kama mitatu mfululizo aisee, asa ntakushangaa kama utatumia hicho kigezo kama utetezi wako kuhusu Clubs zenye MAFANIKIO uingereza, ntakuwa syo shabik madhubut wa mpira kama ntafananisha ubora wa Liverpool ya mwaka 2009-2012 na 2013 mwanzon, Chelsea yenu ya Vipind hivyo, coz perfomance yenu ilikuwa ni ya hali ya juu, mpaka mkaishangaza Dunia kwa kuchukua UCL kwa mara ya kwanza mbele ya Bayern, kwa maana hyo bas hata tukiamua kufatilia Uefa ranks za kuanzia 2000's mpaka 2008, zingekuwa tofaut kabisa na za sasa, kwasababu mpira unabadilika kila kukicha Mkuu, nadhan utakubaliana na mimi kuwa hukutegemea kama Atletico Madrid kusumbua kias hiki kule Spain, au hukutegemea kama AC Milan, one of the biggest club katka european football history, ingepotea kiasi hiki kule Italy (na stegemei kama utakuja kunambia kuwa Chelsea ina Mafanikio kuliko Ac milan), hukutegemea kama Everton baada ya kupotea kwa mda mrefu, sahv wangekuwa wanacompete kuingia top4, au hukutegemea pamoja na Man U, kubadilisha Kocha, ingetetereka kias hiki, MABADILIKO ni sehem ya Soccer, ndo maana ranks za Clubs na nation teams huwa znabadilika kila siku kulingana na PERFOMANCE ya Clubs na national teams..Naomba tu ukubaliane na mimi kuwa Bado unahitaj nguvu na kupanda mlima mrefu sana kuyafikia mafanikio ya clubs kama Man U, Liverpool na Arsenal pale ENGLAND...
 
Miaka mitatu ambayo hakucheza ni kwa sababu TIMU MBOVU HIYO.
hakukatazwa kucheza isipokuwa timu mbovu. Kama unapenda kutukana watukane UEFA wao ndo wanaweka hizo rekodi sawa..ama sivyo hujalazimishwa kukoment humu nenda kwenye jukwaa la jokes. Matusi ya nini sasa?:fencing:
hivi timu imechukua kombe mara 4 unaicompare na liverpool yenye mara 18?ok mi sijashiriki uefa miaka mitatu unanizidi nini?hvi unajua liverpool imechukua uefa mara ngapi.
?subiria miaka hamsin mingne ndo ufananishe ako ka timu kako na liverpool.
 
Na kuhusu Suala la Kuspend BIG, kila Club kubwa ina uwezo huo, lakin policy za usajil baina ya vilabu vikubwa huwa znatofaitiana sana kaka, mfano kama Liverpool, kwa mfano Man U, pamoja na mafanikio yao ya mda mrefu, MATA ndo akaja kuwa mchezaj ghali kuwah kununuliwa na Man U, na syo kwamba hawakuwa na uwezo huko nyuma kaka wa kununua mchezaj wa kias hicho, unaweza ukaona Arsenal pia, kuhuso Ozil, liverpool kuhusu Caroll, Bayern kuhusu Martnez, Au Barcelona kuhusu Neymar..lakin utakubaliana na mimi kuwa hizi team zimekuwa na Mafanikio ya Muda mrefu kutokana na kuwekeza zaid kwa vijana kwenye Club...kuhusu Mo Salah Liverpool walitaka kutoa bei HALISI ya mchezaj, sera ya Liverpool syo kuOverpay the actual price, ambavyo nyie mlioverpay mpate sign ya dogo, ambaye mda mwingi anautumia Bench..na hata tulvyomkosa salah, si umekuwa SHUHUDA wa perfomance ya Sterling msimu huu..???
 
KUNA TOFAUTI KATI YA: UMRI WA KALENDA NA UMRI WA AKILI. UMRI WA AKILI YANGU NI MKUBWA KULIKO UMRI WA KALENDA.

INAONEKANA WEWE NI MVIVU WA KUSOMA. HUHITAJI KUBISHANA NA DATA ZANGU. JAMBO LA KUFANYA NI KULETA DATA ZAKO NA ULIKOZITOA KAMA NILIVYOFANYA MIMI SI KUISHIA KUPAYUKA. UMRI WANGU HAUSAIDII KITU KWENYE MAISHA YAKO. HAPA TUNAZUNGUMZIA MPIRA, NA KILA MTU ANA TIMU YAKE. MIMI SIWEZI KUWA LIVERPOOL FC AU ARSENAL KWA SABABU YA REKODI ZA ZAMANI AMBAZO HATA WEWE HUKUWA UNA TAZAMA TV. KAMA ULIZALIWA MIAKA YA 1960 KWANI SI UMEANZA KUTAZAMA MPIRA MIAKA YA 90 SAWA TU NA MIMI?

LETE HOJA ..HAPA NI HOJA KWA HOJA. KAMA HUNA HOJA TULIA.:focus::focus:
Unajitia aibu bure.. hivi kwa lipi unaweza kuifananisha liverpool na chelsea..?kma kweli unapenda mpira u bettr kip quite unajidharirisha tu iwonder chelsea umeanza kuifatilia lini,wewe utakua unafata mkumbo tu wakuishabikia hii timu ,otherwise umezaliwa baada ya 2000..
 
Na kuhusu Suala la Kuspend BIG, kila Club kubwa ina uwezo huo, lakin policy za usajil baina ya vilabu vikubwa huwa znatofaitiana sana kaka, mfano kama Liverpool, kwa mfano Man U, pamoja na mafanikio yao ya mda mrefu, MATA ndo akaja kuwa mchezaj ghali kuwah kununuliwa na Man U, na syo kwamba hawakuwa na uwezo huko nyuma kaka wa kununua mchezaj wa kias hicho, unaweza ukaona Arsenal pia, kuhuso Ozil, liverpool kuhusu Caroll, Bayern kuhusu Martnez, Au Barcelona kuhusu Neymar..lakin utakubaliana na mimi kuwa hizi team zimekuwa na Mafanikio ya Muda mrefu kutokana na kuwekeza zaid kwa vijana kwenye Club...kuhusu Mo Salah Liverpool walitaka kutoa bei HALISI ya mchezaj, sera ya Liverpool syo kuOverpay the actual price, ambavyo nyie mlioverpay mpate sign ya dogo, ambaye mda mwingi anautumia Bench..na hata tulvyomkosa salah, si umekuwa SHUHUDA wa perfomance ya Sterling msimu huu..???


HAPA UMEJITAHIDI KUONGEA HOJA ZA MAANA KIDOGO.

KABLA YA MWANITESA UNITED KUMPATA MATA WAMEWAHI KUSAJILI KWA REKODI SEMA NDO ZIMEVUNJWA NA HUYO MATA. UNAKUMBUKA USAJILI WA RIO FERDINAND KUTOKA LEEDS UNITED?

RAHA YA SHABIKI WA MPIRA NI USHINDI NA MATAJI. SASA KAMA UMRI WANGU WOTE WA KUTAZAMA MPIRA LIVE. 1993-2014 TIMU YANGU CHELSEA FC IMEKUWA IKIFANYA VIZURI KWA NINI NIUMIE NA REKODI ZENU ZA MIAKA YA 1960? HAYO NAWAACHIA NYIE.

LEO HII TUNAFIKISHA POINTI 72. UBINGWA UNAKUJA WENYEWE WEST LONDON.(SW):nod::nod:


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom