Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tulipigwa 2-1 tukiwa na wakubwa nje... Gerro, Sturridge, Johnson, Agger, etc

Tena mlitumia ile mbinu ya faulo za kimyakimya, siku hizi hizo hakuna... mtapigwa tu

kuhusu kusema hamna timu ya kimfunga asenane, mkuu naomba uonyeshe wapi nimesema... maana huwa sicooment sana kuhusu soka hasa kwenye thread zenu

Haya mkuu hold on to your words si mbali sana nitakuomba uyatamke tena.

I believe in Chelsea and the special happy one.

Kama kwako Agger, Sturridge (chelsea reject) na johnson ni wakubwa wa timu yenu then i fear for the beating you will receive come that day.

Wait a minute uliona jinsi Johnson alivokuwa akipitwa na madogo wa Cardiff jana, huyo Agger alivopewa shida na kale ka Campbell honestly unadhani wanaweza kumkaba nani kwenye forwards za Chelsea? Maana hata akiwekwa T. Kalas hiyo siku nahisi atawatoka tu.

Pata picha Per na Kos walivyopata shida kutuzuia jana unitajie kikosi kitakachoipa shida Chelsea.

Ila kama lengo lako ni ushabiki then HAKUNA TIMU EUROPE YENYE UWEZO WA KUMFUNGA LIVERPOOL. #HAPPY ????!
 
Haya mkuu hold on to your words si mbali sana nitakuomba uyatamke tena.

I believe in Chelsea and the special happy one.

Kama kwako Agger, Sturridge (chelsea reject) na johnson ni wakubwa wa timu yenu then i fear for the beating you will receive come that day.

Wait a minute uliona jinsi Johnson alivokuwa akipitwa na madogo wa Cardiff jana, huyo Agger alivopewa shida na kale ka Campbell honestly unadhani wanaweza kumkaba nani kwenye forwards za Chelsea? Maana hata akiwekwa T. Kalas hiyo siku nahisi atawatoka tu.

Pata picha Per na Kos walivyopata shida kutuzuia jana unitajie kikosi kitakachoipa shida Chelsea.

Ila kama lengo lako ni ushabiki then HAKUNA TIMU EUROPE YENYE UWEZO WA KUMFUNGA LIVERPOOL. #HAPPY ????!


Mkuu Mentor Huyo Janjaweed maneno yake nimeyatunza ili ikifa hiyo siku ya Tarehe 27 nimuoneshe on the pitch!

Tena nimewambia hivi hao liverpool kuanzia Jana nitakua nashinda na kula ktk thread Yao ya Liverpool nikiroroma Maana biashara na wengine wote nimemaliza bado Liverpool tu!

Kwahiyo ata akikwambia sijui nani atakuwepo Jibu ni rahisi tu who can Stop us?
 
Last edited by a moderator:
wenger anatuzingua huwezi kumpiga flamini bench huku hauna kiungo mkabaji
 
Mwanaume Kitambi,Six Pack Waachie Arsenal.....hio ndio habari ya mujini!!!!!!!!!!!
 
Okay.. tumefungwa vibaya.. Full Stop.

Hakunaga full stop hapo mkuu, ni comma tu tukikumbuka tena tunakumbushia tu! khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:nod::rip:
 
Okay.. tumefungwa vibaya.. Full Stop.

Hakunaga full stop hapo mkuu, ni comma tu tukikumbuka tena tunakumbushia tu! khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:nod::rip:
 
Poleni Wanaarsenal wenzangu wote,kufungwa ni kawaida kwenye soka,mbona Madrid kala nne,haikua siku yetu.
 
Poleni Wanaarsenal wenzangu wote,kufungwa ni kawaida kwenye soka,mbona Madrid kala nne,haikua siku yetu.

Kala 3 - 4 . Ni tofauti sana na 6 - 0 au 5 - 1 au 6 -3 . 6 - 0 means hamfurukuti hata kwa kubahatisha....read that mkuu!!!
 
Poleni Wanaarsenal wenzangu wote,kufungwa ni kawaida kwenye soka,mbona Madrid kala nne,haikua siku yetu.

Kala 3 - 4 . Ni tofauti sana na 6 - 0 au 5 - 1 au 6 -3 . 6 - 0 means hamfurukuti hata kwa kubahatisha....read that mkuu!!!



6-1, 5-1, 6-0. It looks like a tennis score, shame Liverpool couldn't complete a set!
 
Commentator alinifurahisha sana eti why 8,why 6,why 5 ameshindwa kujua kwa nini Prof hana haya majibu
 
Why are you so black baba Sharon...are you South Sudanese?
Kaka I will only be brown or whatever when prof the specialist atakapochukua kikombe hata cha FA ndogo ile ya madogo wa chelsea waliowapiga West Brom 2.....
 
Back
Top Bottom