Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Agost 8, Ubishi wako siyo wa kisoka kabisa, nani aliyezikataa hizo ranks???..Nan aliyekataa kuwa team yako kwa vipind vya 2009-2013 ilikuwa bora zaid ya Liverpool???..sawa team yangu ilikuwa mbovu kipind hicho, hakuna anayekataa aisee, Lakin we ulikuwa wap kipind chote cha miaka 50 mpk kuja kuchukua league tena mwaka 2005???..Hapa tunazungumzia MAFANIKIO ya Clubs hizi mbili yaliyofikiwa mpaka sasa..UBORA wa teams huwa ni wa vipind tu kaka..Tujenge hoja za kisoka hapa mdau mwenzangu...
 
Mara 4 tu imagine

duh! Kubwabwaja kote huko kumbe ndo kwanza mara 4? Wenzao man utd wamechukua mara 20,liverpool mara 18, ucl liver 5,utd 3,chelsee mara ngapi? To be honest,nimeanza kuisikia chelsea mwaka 2004 hivi,kabla ya hapo nadhani ilikuwa timu ya kugombania kutoshuka daraja na akina Birngham city.
 
afu kumbe huyo jamaa anayepiga kelele hapo ni bwana mdogo tu,ana miaka 21 hivi,mwacheni ashabikie timu ya watoto wenzie.
 
MosDef na Jaslaws - @agosti8 na kalou, kuna arguments mbili hapa ambazo ninavyoona zinafanya majibizano yote haya: UBORA VS MAFANIKIO kati ya LIVERPOOL NA CHELSEA

Mtazamo wangu ni kuwa;
1. Liverpool tangu kuanzishwa kwake hadi sasa ina mafanikio (kwa mantiki ya idadi ya makombe) zaidi ya Chelsea

2. Chelsea kwa sasa ni timu bora kuliko Liverpool.

3. Historia: Kuna mtu ameandika hapo juu kuwa Liverpool ilikuwa na makombe 18 wakati huo Man utd wakiwa na 7. Liverpool ikabaki hapo hapo hadi sasa man utd ina makombe 20. Je, bado tuiite Liverpool ni timu bora England kwa kuwa aliktangulia kuwa na makombe mengi zaidi ya timu zilizopo sasa kwenye ligi?

4. Lakini historia hiyo hiyo imetuonesha kuwa Chelsea ya miaka 14 ya hivi karibuni imekuwa iki-improve na kujiwekea historia ya aina yake. Hivyo majibizano haya siyatofautishi sana na kipindi ambacho man utd alitwaa labda kombe lake la 8. Liverpool (kama kawaida yao ya historia) nina uhakika walikuwa wakiongea kama wanavyoongea sasa (historia historia historia...sisi ni bora kwa kuwa tuna makombe 18 nyie mmechukua haka ka nane tu msipige kelele)

5. Kwa mantiki hiyo basi ninyi mashabiki wa liverpool nendeni kwenye thread yenu mkajinadi jinsi mlivyokuwa timu BORA NA MAARUFU YENYE MAFANIKIO kipindi hicho mtuache sisi tukijinadi jinsi tulivyo TIMU BORA NA YENYE MAFANIKIO kwa sasa.

6. Kuna possibility (as a chelsea fan: 0.000000000000001%) ya nyie kuchukua kombe la EPL (khe khe khe) mwaka huu. Mtakapolichukua, ndipo mtakapokuwa na haki ya kusema KWA SASA na KIPINDI HICHO (mara ya mwisho kwenu kuchukua kombe) ninyi ni timu bora na yenye mafanikio uingereza.

7. Sasa basi, hadi hapo mtakapoweza kufanya hivyo, hamtusumbui sana (zaidi ya kujaza comments zisizo na mantiki kwenye thread yetu) mnapoongelea historia kwani nina uhakika kwa miaka mingine mingi ijayo Chelsea bado itakuwa ni timu yenye mafanikio na bora Uingereza na Ulaya. Mtakuwa na la kusema?

8. Historia imetufunza, "Kutangulia sio kufika" mlitangulia mkapitwa...kaeni kimya mjipange! Na kama kwa kikosi mlichonacho sasa ndio mnadhani mmejipanga kuendelea kubaki pale juu..think again!!!

9. Oh kuna aliyesema anayeshabikia chelsea kazaliwa 2000. Hiyo ni argument ya kitoto sana na sijui kwa nini huwa mnaitumia. So what..aliyezaliwa 2000 hana haki ya kushabikia mpira na timu aipendayo?

10. Mfano wangu mimi niliyezaliwa 1987: Mimi nilipoanza kuufaham mpira wa ulaya kulikuwa na Arsenal ya Highbury na manchester united (honestly Liverpool ilikuwa ile ile ya kujisifia historia so haikuwa kwenye wish list yangu). Nilisafiri kwenda Nairobi mwaka 2000, nakumbuka tukaenda supermarket na nikatakiwa kuchagua kitu cha kununua. Nilienda section ya nguo na kukuta jezi ya blue ya chelsea (I love the blue color) among other jerseys na nyingine yenye maneno ya KARIBU KENYA. Nilizitaka zote..nikazibeba! Nilipofika pa kulipia mama yangu mdogo akanitaka nichague moja kati ya zile...sikuweza kuchagua. Bahati nzuri kulikuwa na mzungu nyuma yetu alivyoona vile akasema atanilipia moja. Tangu siku hiyo ndipo nilipoanza kuifuatilia timu ya Chelsea na kuipenda.

Na kwa kipindi kile ilikuwa rahisi kujivunia kuishabikia timu hiyo kwani ilikuwa na wachezaji weusi wanaofahamika kama kina Babayaro, Hasselbaink, Desaily mfaransa huyu namkumbuka kwenye world cup zaidi!

Mtuwache na timu yetu...maana kipindi hicho nina uhakika huyu Abramovich hakuwepo (au sikumbuki but am sure hakuwepo) na bado vikombe vidogo vidogo tulichukua na kuwafunga hao kina man utd na city liverpool na arsenal...

Ni hayo tu kwa sasa sitaki kuwasikia tena mkija kuongea pumba zenu hapa! nendeni kwenye thread lenu tutaonana 27th April..
 
Last edited by a moderator:
Huyu augost 8 ana mahaba na timu tu.toka mwaka 1905 timu ina almost miaka 109 ila ina makombe 4 ma yote yanapatikana kwa mbinde,kea intrval ya miaka 50 labda sya mawil ys mwisho tu. leo hii unajifananisha na liverpool?
 
Me ni shabiki wa Soccer, na kwahvyo, Nachelea kusema kila team ambayo ipo Top3 kwa sasa ina uwezo wa kubeba hii title ya msimu, Mna fixture nzuri ahead, lakin anything can happen in football..ukilinganisha na perfomance za team nyingne, bado una kazi ya ziada sana kubeba ubingwa, well, kwa Upande wangu, lengo letu kubwa lilikuwa ni A top 4 finish, ambacho pia kilikuwa kinaonekana ni kitu kigum sana kabla msimu haujaanza, lakin BR amefanikiwa kwenda beyond na expectations zetu, so naweza sema kulingana na perfomance na ari ya Team, na nadhan tumebakiza kama game 2 tu away, We as Liverpool fans we Can DREAM too about the league title this season..
 
MosDef na Jaslaws - @agosti8 na kalou, kuna arguments mbili hapa ambazo ninavyoona zinafanya majibizano yote haya: UBORA VS MAFANIKIO kati ya LIVERPOOL NA CHELSEA

Mtazamo wangu ni kuwa;
1. Liverpool tangu kuanzishwa kwake hadi sasa ina mafanikio (kwa mantiki ya idadi ya makombe) zaidi ya Chelsea

2. Chelsea kwa sasa ni timu bora kuliko Liverpool.

3. Historia: Kuna mtu ameandika hapo juu kuwa Liverpool ilikuwa na makombe 18 wakati huo Man utd wakiwa na 7. Liverpool ikabaki hapo hapo hadi sasa man utd ina makombe 20. Je, bado tuiite Liverpool ni timu bora England kwa kuwa aliktangulia kuwa na makombe mengi zaidi ya timu zilizopo sasa kwenye ligi?

4. Lakini historia hiyo hiyo imetuonesha kuwa Chelsea ya miaka 14 ya hivi karibuni imekuwa iki-improve na kujiwekea historia ya aina yake. Hivyo majibizano haya siyatofautishi sana na kipindi ambacho man utd alitwaa labda kombe lake la 8. Liverpool (kama kawaida yao ya historia) nina uhakika walikuwa wakiongea kama wanavyoongea sasa (historia historia historia...sisi ni bora kwa kuwa tuna makombe 18 nyie mmechukua haka ka nane tu msipige kelele)

5. Kwa mantiki hiyo basi ninyi mashabiki wa liverpool nendeni kwenye thread yenu mkajinadi jinsi mlivyokuwa timu BORA NA MAARUFU YENYE MAFANIKIO kipindi hicho mtuache sisi tukijinadi jinsi tulivyo TIMU BORA NA YENYE MAFANIKIO kwa sasa.

6. Kuna possibility (as a chelsea fan: 0.000000000000001%) ya nyie kuchukua kombe la EPL (khe khe khe) mwaka huu. Mtakapolichukua, ndipo mtakapokuwa na haki ya kusema KWA SASA na KIPINDI HICHO (mara ya mwisho kwenu kuchukua kombe) ninyi ni timu bora na yenye mafanikio uingereza.

7. Sasa basi, hadi hapo mtakapoweza kufanya hivyo, hamtusumbui sana (zaidi ya kujaza comments zisizo na mantiki kwenye thread yetu) mnapoongelea historia kwani nina uhakika kwa miaka mingine mingi ijayo Chelsea bado itakuwa ni timu yenye mafanikio na bora Uingereza na Ulaya. Mtakuwa na la kusema?

8. Historia imetufunza, "Kutangulia sio kufika" mlitangulia mkapitwa...kaeni kimya mjipange! Na kama kwa kikosi mlichonacho sasa ndio mnadhani mmejipanga kuendelea kubaki pale juu..think again!!!

9. Oh kuna aliyesema anayeshabikia chelsea kazaliwa 2000. Hiyo ni argument ya kitoto sana na sijui kwa nini huwa mnaitumia. So what..aliyezaliwa 2000 hana haki ya kushabikia mpira na timu aipendayo?

10. Mfano wangu mimi niliyezaliwa 1987: Mimi nilipoanza kuufaham mpira wa ulaya kulikuwa na Arsenal ya Highbury na manchester united (honestly Liverpool ilikuwa ile ile ya kujisifia historia so haikuwa kwenye wish list yangu). Nilisafiri kwenda Nairobi mwaka 2000, nakumbuka tukaenda supermarket na nikatakiwa kuchagua kitu cha kununua. Nilienda section ya nguo na kukuta jezi ya blue ya chelsea (I love the blue color) among other jerseys na nyingine yenye maneno ya KARIBU KENYA. Nilizitaka zote..nikazibeba! Nilipofika pa kulipia mama yangu mdogo akanitaka nichague moja kati ya zile...sikuweza kuchagua. Bahati nzuri kulikuwa na mzungu nyuma yetu alivyoona vile akasema atanilipia moja. Tangu siku hiyo ndipo nilipoanza kuifuatilia timu ya Chelsea na kuipenda.

Na kwa kipindi kile ilikuwa rahisi kujivunia kuishabikia timu hiyo kwani ilikuwa na wachezaji weusi wanaofahamika kama kina Babayaro, Hasselbaink, Desaily mfaransa huyu namkumbuka kwenye world cup zaidi!

Mtuwache na timu yetu...maana kipindi hicho nina uhakika huyu Abramovich hakuwepo (au sikumbuki but am sure hakuwepo) na bado vikombe vidogo vidogo tulichukua na kuwafunga hao kina man utd na city liverpool na arsenal...

Ni hayo tu kwa sasa sitaki kuwasikia tena mkija kuongea pumba zenu hapa! nendeni kwenye thread lenu tutaonana 27th April..

Mkuu tutashindwa kuelewana.. ktka hadith yako umeipenda chelsea just kwasababu unapenda blue colour mie naongeleapira wew unaongelea rangi za jezi nahisi atutaelewana..vipi everton hawakubali ?na wao wanauzi wa blue.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mkuu Mentor, ukipewa mtihan, kuulizwa ni clubs gani zenye MAFANIKIO zaid katika mpira wa Uingereza zaid ya Manchester United na LiverpoolFc, Utajibu vipi???
 
Kwa hiyo mkuu Mentor, ukipewa mtihan, kuulizwa ni clubs gani zenye MAFANIKIO zaid katika mpira wa Uingereza zaid ya Manchester United na LiverpoolFc, Utajibu vipi???

Leeds utd...
 
Mkuu tutashindwa kuelewana.. ktka hadith yako umeipenda chelsea just kwasababu unapenda blue colour mie naongeleapira wew unaongelea rangi za jezi nahisi atutaelewana..vipi everton hawakubali ?na wao wanauzi wa blue.

Hivyo ww uliipenda liver kwa sababu ya umaaruf wake wakati unaanza kushabikia mpira? Doesnt that make you a plastic fan n a glory hunter?

Huenda kipindi hicho ningeiona jez ya everton nikaipenda ningekuwa shabiki wa everton na usingeniambia anything kuhusu everton nikakusikia.

I wasnt after th most famous club..the most cup ladden club..i loved the team as it was...a mid table team..na sasa mtuwacheeeee abramovic alinkuta tayar mi ni shabiki wa chelsea...jus a bonus to my perfect choice!!!
 
Hivyo ww uliipenda liver kwa sababu ya umaaruf wake wakati unaanza kushabikia mpira? Doesnt that make you a plastic fan n a glory hunter?

Huenda kipindi hicho ningeiona jez ya everton nikaipenda ningekuwa shabiki wa everton na usingeniambia anything kuhusu everton nikakusikia.

I wasnt after th most famous club..the most cup ladden club..i loved the team as it was...a mid table team..na sasa mtuwacheeeee abramovic alinkuta tayar mi ni shabiki wa chelsea...jus a bonus to my perfect choice!!!

By 2000 chelsea was never a midtable kama unabisha google that...!!
 
To me mid table is anything from fifth position. If i remember well we didnt finish anywhere there.
U have no where to stand on... u loved the colour of the club kits ful stop ..in case chelsea wakibadili jersey colour,na wew ushabiki wako kwa chelsea unaishia hapohapo thts wat u mean.ur just rubberfan..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom