Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

article-2591855-1CA79DDC00000578-134_964x386.jpg


We will bounce back, we aren't Manure ... .... ..... COYG

Mkuu Wacha1 wacha kujidanganya. Unazioa hizo picha mbili hapo kati? Zinaelezea everything Scholes said....Arsenal ya sasa haina wachezaji kama hao...HAINA! Na ni kwa sababu hiyo (in as much as natamani muwafunge man city..kwa manufaa yetu ofcourse) ninajua hamna uwezo huo kwa sasa.

Wenger hakutakiwa kumjibu Scholes kwa maneno...ila vitendo! :nod:
 
Last edited by a moderator:
Wakuu wa Gunners hawa timu mburukenge wasiwatishe wanashinda kwa envelopes tu. Time will come kila chenye mwanzo kina mwisho Abraham anakufa na timu inakufa ''mark my words'' Ushindi wa rupia hauna furaha ya milele. Karibu nachukua ungo wangu kuelekea Emirates kuwashughulikia Mancs. Habari za uhakika ni kwamba hali ya hewa maridhawa kabisa na kijua kipo gado kuukaribisha mwaka mpya ooo ooo pps New financial year. Wale wenzangu na mie wasisahau tu summer time just around the corner, few hours .... .... .... .... .... .. asiyekubali kushindwa sio mshindani.


BTW wale waliokuwa wananisaka kwa udi na uvumba waje chacha na maswali yao ya kinoko. BTW kumaliza financial year na kutumia ngawira siyo nchezo nilikuwa busy na muda wa kuja kuteta huku haukuwepo thats all but gutted na refa mshenzi mechi yetu pale kwenye cow shed.[/QUOT

Karibu tena mkuu.
Congratulation for being back.
Home sweet Home.
COYG.
 
mechi yenu leo ntakuwa naiangalia from a neutral point of view.

Mkuu i. thougt we should be on arsenals side..thy r nolonger a threat kwetu..hawa mancity wanatishia sana mbio zetu za ubingwa,hawa chelsea na mapira yao ya kupaki basi wala hawana shida.
 
Watani wa darajani naona bado wamekumbatiwa na Crystal Palace. Sijui kwetu itakuwaje mama yangu!
 
Mkuu i. thougt we should be on arsenals side..thy r nolonger a threat kwetu..hawa mancity wanatishia sana mbio zetu za ubingwa,hawa chelsea na mapira yao ya kupaki basi wala hawana shida.

i wish kesho tushinde,tutaongoza ligi ujue.
 
Haya watani mmeshasaidiwa na Chelsea. Kazeni buti bado mko kwenye contention, piga hawa City hapo Emirates
 
Haya watani mmeshasaidiwa na Chelsea. Kazeni buti bado mko kwenye contention, piga hawa City hapo Emirates
Leo Tupo na Arsenal mapigo City Sema LFC Keesho tunafungwa au draw ila muhimu Arsenal ashinde Leo nao watakuwa nafasi nzuri ya ubingwa itapata kutupa Nguvu timu za juu na wao United asije Kuwa wa 4.
 
Kila la kheri kwa Gunners natumai leo hatuwez kupoteza point 3.
COYG.
 
Leo Arsenal atashinda,mpaka dakika hii ya 17 hawajafungwa!

"Nlikuwepo":bolt:
 
Back
Top Bottom