Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki wa THE BLUES tuna matatizo sana, timu ikifanya vizuri inakoselewa, timu ikifungwa inakoselewa (CHUKI CHUKI KWA KILA KITU).

Mpira ni burudani, ushabiki ni burudani hakuna haja ya ushabiki wa CHUKI na uchambuzi wa CHUKI. Mpira ni furaha

Ndio maana binafsi nachambua mpira kiburudani, natoa comments za burudani, utani wa hapa na pale sote tufurahi maisha yasonge mbele.

Ndio wote tunafahamu nyakati ngumu THE BLUES tunapitia sio kigezo cha kueneza CHUKI miongoni mwetu na timu yetu.
 
Msiwe mnabishana kushindana muwe mnaelewa kwanza ndio. Hiyo notion unayoisema aliisema mwenzako kwamba wachezaji wanajiamulia wenyewe bila kufuata maagizo ya kocha hapo ndipo mimi nikaanza kumbishia. Nashangaa mmejikusanya kunishambulia kama vile mimi ndio nimeiamzisha.

Kaeni mjadiliane muumalize huo mgogoro.
Ndg umesema leo kuwa wachezaji hawafuati maelekezo ya kocha, what is the different, unabisha hadi unajibishia mwenyewe
 
Mashabiki wa THE BLUES tuna matatizo sana, timu ikifanya vizuri inakoselewa, timu ikifungwa inakoselewa (CHUKI CHUKI KWA KILA KITU).

Mpira ni burudani, ushabiki ni burudani hakuna haja ya ushabiki wa CHUKI na uchambuzi wa CHUKI. Mpira ni furaha

Ndio maana binafsi nachambua mpira kiburudani, natoa comments za burudani, utani wa hapa na pale sote tufurahi maisha yasonge mbele.

Ndio wote tunafahamu nyakati ngumu THE BLUES tunapitia sio kigezo cha kueneza CHUKI miongoni mwetu na timu yetu.
Hiyo burudai ikikosekana ni chuki kama kuna kocha kakaa pale anazuia hiyo burudani. Tulizoea kubeba makombe, hii hali ya kusuburi miaka 30 kama Liverpool na Arsenal hatuiowezi wanaoweza ni wale The Blues wa before 2005
 
Hiyo burudai ikikosekana ni chuki kama kuna kocha kakaa pale anazuia hiyo burudani. Tulizoea kubeba makombe, hii hali ya kusuburi miaka 30 kama Liverpool na Arsenal hatuiowezi wanaoweza ni wale The Blues wa before 2005
Mashabiki watoto wa dot-com hamtaki tabu kabisa
 
Mashabiki wa THE BLUES tuna matatizo sana, timu ikifanya vizuri inakoselewa, timu ikifungwa inakoselewa (CHUKI CHUKI KWA KILA KITU).

Mpira ni burudani, ushabiki ni burudani hakuna haja ya ushabiki wa CHUKI na uchambuzi wa CHUKI. Mpira ni furaha

Ndio maana binafsi nachambua mpira kiburudani, natoa comments za burudani, utani wa hapa na pale sote tufurahi maisha yasonge mbele.

Ndio wote tunafahamu nyakati ngumu THE BLUES tunapitia sio kigezo cha kueneza CHUKI miongoni mwetu na timu yetu.
Kuwa tu mkweli kuwa Ostaz Lembu ana matatizo sana😂😂
 
Hiyo burudai ikikosekana ni chuki kama kuna kocha kakaa pale anazuia hiyo burudani. Tulizoea kubeba makombe, hii hali ya kusuburi miaka 30 kama Liverpool na Arsenal hatuiowezi wanaoweza ni wale The Blues wa before 2005
CHUKI haisaidii kwa sasa, nyakati zimebadilika ile THE BLUES ya makombe haipo tena nyakati hizi. Hili nenda nalo kichwani.

Hizi ni nyakati za CITY ndio maana umeona amebeba EPL back to back + UCL kwa mara ya kwanza.

THE BLUES kwa sasa haina ubora wa Arse8, Liver na City huna timu ya ushindani brother ya kuchukua EPL zaidi ya miaka 3 ijayo.

TODDY kama hana maono na maamuzi sahihi ya kurudisha timu kwenye nyakati za makombe, brother hata uchukie namna gani ni kazi bure. Jiandae kuletewa kocha kutoka MLS.
 
Timu ina stress
Hata ikishinda haina furaha
Akiyanani
Aliyewaroga alishakufa
Wanadhani CITY kuchukua EPL back to back ni jambo la mchezo, Liver na ubora wake wote chini ya Klop amechukua EPL 1 tuu, sembuse hii THE BLUES inayotimua timua makocha na kuleta makocha vilaza na wachezaji mazagazaga.

THE BLUES Tuacheni utani tujipange kimaamuzi.
 
Mnataka kocha aje na kuanza kubeba tu vikombe
Hamna uvumilivu kabisa wa kumpa mtu muda

Mlijikoroga tu mlivyomfukuza TT
Yule ndo alikuwa kocha sasa anayewafaa.
Wanadhani CITY kuchukua EPL back to back ni jambo la mchezo, Liver na ubora wake wote chini ya Klop amechukua EPL 1 tuu, sembuse hii THE BLUES inayotimua timua makocha na kuleta makocha vilaza na wachezaji mazagazaga.

THE BLUES Tuacheni utani tujipange.
 
Am too old for this. Kwamba ninakusingizia hukuwahi kusema hivyo?

Mkuu we unaweza leta hiyo post hapa

Nakumbuka nilikwambia kuwa Kama wachezaji wangekuwa hawamtaki Poch basi poch asingekuwepo hapa hapa kila mechi tungekuwa tunafungwa

Maana ulikuwa unasema wqchezaji hawafati wanavyoambiwa
 
Mnataka kocha aje na kuanza kubeba tu vikombe
Hamna uvumilivu kabisa wa kumpa mtu muda

Mlijikoroga tu mlivyomfukuza TT
Yule ndo alikuwa kocha sasa anayewafaa.
Mashabiki wenzangu wa THE BLUES hawana uvumilivu na hawaeleweki.

TT kabeba makombe makubwa ndani ya miezi 3 still alikuwa anapondwa hapa hatare.

Sasa tumepata kiboko yetu anaitwa TODDY, hata tuponde, tutukane, tususe, TODDY anamwambia Poche kibarua chako kiko salama piga kazi kocha wangu na nikikufukuza nawaletea kocha kutoka MLS nataka timu iwe na swaga za kimarekani
 
Mkuu kwenye hili swala nadhani hatujaelewana mlengo wetu. Hakuna sehemu nilisema Poche ni perfect 100% ana mapungufu yake lakini ambacho mimi nawakatalia mnaaamini Poch peke yake ndio tatizo, hapo ndio tunapopishana tu. Tuna wachezaji average na hawana mapenzi na timu ndio wanatufelisha pakubwa. Lakini mwisho wa siku kocha ndio atatupiwa lawama tu.

Kuhusu sababu za kocha kutimuliwa miaka yote ndio hizohizo kwenye club zote. Tuchel watasema hakuelewana na mabosi lakini ilianza kusemwa namna ya uchezaji na mifumo imebadilika.

[mention]Southern Highland [/mention]
 
Ndg umesema leo kuwa wachezaji hawafuati maelekezo ya kocha, what is the different, unabisha hadi unajibishia mwenyewe
Nilikuuliza swali ukanijibu kipuuzi na mimi nikaamua kujibu kipuuzi. Notion ya wachezaji kucheza bila coaching effort aluwahi kuisema huyo jamaa yako ndio namimi nikaanzia hapo kumbishia sasa hivi ananibishia. Naelewa kila ninachoandika
 
Nilikuuliza swali ukanijibu kipuuzi na mimi nikaamua kujibu kipuuzi. Notion ya wachezaji kucheza bila coaching effort aluwahi kuisema huyo jamaa yako ndio namimi nikaanzia hapo kumbishia sasa hivi ananibishia. Naelewa kila ninachoandika

Nimekwambia leta post

Vitu unavyosema wewe unaanza sema watu wengine ndio wamesema
 
Kwamba unataka kusema wachezaj ndio wanaoamua kucheza hivyo

Yani kama wanaamua kucheza hivyo basi mpaka sasa hiv poch asingekuwepo hapo maana wachezaj hawamtaki mpaka wanaamua kucheza watakavyo.

If wachezaji wangekuwa wanacheza wanavyotaka basi hata second half wasingebadilika mkuu

[mention]Southern Highland [/mention] [mention]lembu [/mention] naomba mkarefer hiyo post mpaka nikamquote hivyo
 
SAsa ninaposema wakati mwingine wachezaji nao wanachangia muwe waelewa. Sina hakika kama Poch anafundisha kumiliki mpira kwa asilimia 79 halafu awafundishe na kupiga off target.

[mention]Southern Highland [/mention] mkuu naomba unipe jibu hapa nani aliyekuwa anasema wachezaj wanacheza kwa maelekezo yao na sikwamaelekezo ya Mwalim
 
Mashabiki wenzangu wa THE BLUES hawana uvumilivu na hawaeleweki.

TT kabeba makombe makubwa ndani ya miezi 3 still alikuwa anapondwa hapa hatare.

Sasa tumepata kiboko yetu anaitwa TODDY, hata tuponde, tutukane, tususe, TODDY anamwambia Poche kibarua chako kiko salama piga kazi kocha wangu na nikikufukuza nawaletea kocha kutoka MLS nataka timu iwe na swaga za kimarekani
Kipochi mitano ✊ tena😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom