UEFA au Ligi?Dah tunakipiga na nani next game??
UEFA au Ligi?Dah tunakipiga na nani next game??
Mkuu sasa tunaelewanakukataa kusajili wachezaji wazoefu wa kimkakati
Niliwahi kusema ni mchezaji gani tuliyenae anaweza kupiga pass nyingi kwa usahihi aidha CM au AM. Huyu Gallagher tutamlaumu bure ila anahitaji kupandisha kiwango chake na akue zaidi kuacha mistakes ndogondogo kama hizi. Upigaji wa pass bado sio mzuri, kudrible bado. Ufanisi bado yuko chini.Ladies and gentlemen hebu muangalieni Gallagher
AUZWE ASIUZWE KIANGAZI
Mimi kwa maoni yangu
Hapo zamani za kale, nilikuwa namfagilia sana Gallagher lakini kwa matukio machache niliyoyaona akihangaika kupeleka mpira kwa mabeki nilijisemea hapana tena kwa Gallagher, auzwe tu dirisha la kiangazi. Tunahitaji mchezaji mbunifu hapo kwenye na.10 sio Gallagher
View attachment 2909712
Uwezo wa Gallagher ndio umefika mwisho, kiwango chake hakiwezi kupanda zaidi ya hapo na kikipanda zaidi ya hapo kitakochofuata ni mishipa ya moyo wake kupasuka.Niliwahi kusema ni mchezaji gani tuliyenae anaweza kupiga pass nyingi kwa usahihi aidha CM au AM. Huyu Gallagher tutamlaumu bure ila anahitaji kupandisha kiwango chake na akue zaidi kuacha mistakes ndogondogo kama hizi. Upigaji wa pass bado sio mzuri, kudrible bado. Ufanisi bado yuko chini.
Mpaka kufikia hapo untouchable amefanya kazi kubwa sana, ukisema aongeze ni kumtakia ajali kubwaUwezo wa Gallagher ndio umefika mwisho, kiwango chake hakiwezi kupanda zaidi ya hapo na kikipanda zaidi ya hapo kitakochofuata ni mishipa ya moyo wake kupasuka.
Gallagher uwezo wake upo kwenye nguvu sio akili. WWE ingemfaa sana
Mkuu tuelewane tusielewane bado Poche ni kocha mbovu. Hakuna mtu anayekataa kuwa Matajiri walifanya makosa makubwa kwa policy yao uchwara wa kutosajili wachezaji beyond 25yrs lakini hata hivyo wamejitahidi kutuletea watoto wazuri ambao wakiwa chini ya kocha mzuri hatutakosa Conference league angalau kwa misimu miwili tukiwasubiri hao watoto wakue. That is the pointMkuu sasa tunaelewana
Na wewe nakuona mwepesi sana wa moyo, Livakuku ingekuwa ndio hiyo inapitia inayopitia Chelsea wewe ungeshajizima data kitamboMtavurugana sana mwaka huu,
Na bado.
Ligi mzee uefa musimu ujao tukienda tunatinga hadi fainalUEFA au Ligi?
Liverpool ya msimu jana hukuiona ustadh?Na wewe nakuona mwepesi sana wa moyo, Livakuku ingekuwa ndio hiyo inapitia inayopitia Chelsea wewe ungeshajizima data kitambo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Uwezo wa Gallagher ndio umefika mwisho, kiwango chake hakiwezi kupanda zaidi ya hapo na kikipanda zaidi ya hapo kitakochofuata ni mishipa ya moyo wake kupasuka.
Gallagher uwezo wake upo kwenye nguvu sio akili. WWE ingemfaa sana
Huyu Galagher naye naanza kumuona ni mchezaji wa timu ndogo au average teams. Yan anataka timu ambazo hazina pressure kubwa acheze a relax ndio uraona kiwango chake. Angalia sasa hivi Barkley anavyokiwasha huko, muangalie RLC, muangalie huyu Galagher alipokuwa Crystal PalaceUwezo wa Gallagher ndio umefika mwisho, kiwango chake hakiwezi kupanda zaidi ya hapo na kikipanda zaidi ya hapo kitakochofuata ni mishipa ya moyo wake kupasuka.
Gallagher uwezo wake upo kwenye nguvu sio akili. WWE ingemfaa sana
Ilishika namba 10 kwa muda gani?Liverpool ya msimu jana hukuiona ustadh?
Ama wajizima data 😁
Hivi yule King Ngwaba alishapotelea wapi?Mtavurugana sana mwaka huu,
Na bado.
Hivi yule King Ngwaba alishapotelea wapi?
Sasaivi kashika adabu haji huku.Yupo mbona
Huyo wa timu ndogo tu. Asikubali huo mtego wa kutoka hizo timu atapotea tuRoss Barkley amekuwa moto aisee. Dirisha lijalo la usajili Anaweza kurudi timu kubwa ulaya.
Weqe ndio umesababisha yote hayaAnatumia acaount nyingi huyo
rajabu omar
King bgwaba