Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Point namba 3 nilisema kabisa wakat wa Halftime hatuna gap tunaloliacha,Hii approach tulitumia dhidi ya Villa FA Cup replay

Kinachonishangaza Poch game zinazokuja huwa hatumii hiv utaluwa tunaacha nafas kubwa kati ya mabeki na viungo na viungo na washambuliak
Tunapotofautiana mimi na nyie ni upotoshaji.

Hakuna taaluma ya ukocha duniani kote inayofundisha mfumo wa kuacha gap kati ushambuliaji na viungo au viungo na mabeki. HAKUNA. Isipokuwa kinachotokea kama ikifika hatua hiyo ni wachezaji wenyewe kujisahau na sio mfumo wa kocha. Unachokiona kwa Chelsea ni aina wachezaji tulionao hasa kwa Enzo na Gallagher hawa ni CM lakini wana nature ya attacking minded hasa wote wanapokua wamepanda ikitokea tunashambuliwa inakua changamoto kufanya transition ndio maana Caicedo analaumiwa sometimes coz most time anajikuta yuko peke yake.

Mfano game dhidi ya Aston Villa Enzo hakuwa anapanda na ilichezwa double pivot ya Enzo na Caicedo ndio maana hukuwa unaona hayo magap kama mechi nyingine za nyuma.
 
Mbinu anazoingia nazo huwa sizo.

Jiulize why msim huu tunastruggle sana dhid ya low block team au huwa hamuangalii mpira??
Mfano dhidi ya Wolves, tunaongoza kumiliki mpira, tumepiga on target za kutosha, pass tunawazidi, lakini nini kinaturudisha nyuma kufungwa magoli manne. Jibu nimekupa post ya juu

Inawezekana tunaangalia mpira wote ila namna ya kuutafsiri tunatofautiana.
 
Tunapotofautiana mimi na nyie ni upotoshaji.

Hakuna taaluma ya ukocha duniani kote inayofundisha mfumo wa kuacha gap kati ushambuliaji na viungo au viungo na mabeki. HAKUNA. Isipokuwa kinachotokea kama ikifika hatua hiyo ni wachezaji wenyewe kujisahau na sio mfumo wa kocha. Unachokiona kwa Chelsea ni aina wachezaji tulionao hasa kwa Enzo na Gallagher hawa ni CM lakini wana nature ya attacking minded hasa wote wanapokua wamepanda ikitokea tunashambuliwa inakua changamoto kufanya transition ndio maana Caicedo analaumiwa sometimes coz most time anajikuta yuko peke yake.

Mfano game dhidi ya Aston Villa Enzo hakuwa anapanda na ilichezwa double pivot ya Enzo na Caicedo ndio maana hukuwa unaona hayo magap kama mechi nyingine za nyuma.

IMG_1904.jpg

IMG_1900.jpg

IMG_1684.jpg

Angalia space inayoachwa katika hizo game 2 halaf compare na game ya Aston Villa na Jana

Enzo na Caicedo walicheza double pivot iliyokaribiana nasikuaha space kubwa kati yao
Umeelezea game ya Aston Villa Jiulize why anashindwa apply hivyo katika game zingine wakat tukicheza hivyo tunaonekana solid

Na distance kati ya mabeki na kiungo ni ndogo henc Kiungo kinakuwa option ya kutoa pass hata wakiwa kwa pressure

Na makosa yanakuwa machache sana why uforce kutumia kitu kile kile nabado hakileti matokeo.

Game ya Villa na City zinaprov jinsi tunavyotakiwa kucheza
 
Mfano dhidi ya Wolves, tunaongoza kumiliki mpira, tumepiga on target za kutosha, pass tunawazidi, lakini nini kinaturudisha nyuma kufungwa magoli manne. Jibu nimekupa post ya juu

Inawezekana tunaangalia mpira wote ila namna ya kuutafsiri tunatofautiana.
Kwa uchezaji wa jana nahisi tunatakiwa tusajili DM ambaye atatulia nyuma kuwalinda back four then CAICEDO na ENZO watembee na ball.

Romeo Lavia ni kidonda ndugu hakina uhakika wa kupona kabisa.

Pia usajili wa Killer Striker ni wa muhimu sana. Tunachezea sana nafasi za magoli ya wazi
 
Tunapotofautiana mimi na nyie ni upotoshaji.

Hakuna taaluma ya ukocha duniani kote inayofundisha mfumo wa kuacha gap kati ushambuliaji na viungo au viungo na mabeki. HAKUNA. Isipokuwa kinachotokea kama ikifika hatua hiyo ni wachezaji wenyewe kujisahau na sio mfumo wa kocha. Unachokiona kwa Chelsea ni aina wachezaji tulionao hasa kwa Enzo na Gallagher hawa ni CM lakini wana nature ya attacking minded hasa wote wanapokua wamepanda ikitokea tunashambuliwa inakua changamoto kufanya transition ndio maana Caicedo analaumiwa sometimes coz most time anajikuta yuko peke yake.

Mfano game dhidi ya Aston Villa Enzo hakuwa anapanda na ilichezwa double pivot ya Enzo na Caicedo ndio maana hukuwa unaona hayo magap kama mechi nyingine za nyuma.
Wewe ndie unapotosha tena bila kuwa na clue ya dynamics za soka. Kocha anatakiwa kutoa maagizo nje na ndani ya uwanja mtu kama hatii maagizo weka pembeni. Sijui hii notion ya kwamba wachezaji ndio wanajiamulia umeitoa wapi. Hiyo timu ambayo wachezaji wanaenda kinyume na maagizo ya kocha labda ni hizi za makapurwa wa karioakoo au mwembechai au huku kwetu Unga ltd na ngarenaro
 
Poch ana uwezo mdogo, alivyomuingiza challobah kuna jamaa alikua karibu yangu nikamwambia city wakimtumia challobah viziri anawapa goli, na kweli akawapa goli.

Poch akili hana, anamuingiza challobah mchezaji ambae hajacheza tokea misimu miwili imeisha tena agaist City, mchezaji mwenyew ht akiwa fit ni majanga.
 
Wewe ndie unapotosha tena bila kuwa na clue ya dynamics za soka. Kocha anatakiwa kutoa maagizo nje na ndani ya uwanja mtu kama hatii maagizo weka pembeni. Sijui hii notion ya kwamba wachezaji ndio wanajiamulia umeitoa wapi. Hiyo time ambayo wachezaji wanaenda kinyume na maagizo ya kocha labda ni hizi za makapurwa wa karioakoo au mwenyechai au huku kwetu Unga ltd na ngarenaro
Huyo jamaa anaandikaga vitu kulingana na uwezo wake mdogo wa kufikiri, naonaga mnapotezaga muda kubishana nae.

Imagine mtu anakwambia wachezaji ndio huwa wanajiamulia wachezeje!!! kama ni hivyo kuna maana gani y kuwa na kocha sasa?.
 
Huyo jamaa anaandikaga vitu kulingana na uwezo wake mdogo wa kufikiri, naonaga mnapotezaga muda kubishana nae.

Imagine mtu anakwambia wachezaji ndio huwa wanajiamulia wachezeje!!! kama ni hivyo kuna maana gani y kuwa na kocha sasa?.
Halafu jamaa confidently kabisa anawasingizia wachezaji ambao wao wako kupokea na kufanyia kazi maagizo ya kocha. Kocha ndie anatakiwa kumwambiua ENzo wewe ni kusaidia na Caicedo kuzuia mashambulizi kule mbele muachie Galagher na wenzake ukijumlisha na tricks ana tactics mbalimbali ambayo kocha anatakiwa kuwapa wachezaji time to time hata wakiwa uwanjani kama mambo hayaendi vizuri
 
Naomba jamani Poche chonde chonde usimpange tena Jackson kwenye ustrika
Muweke winga wa kulia au kushoto au katikati na. 10 tuitampenda bure, sio mara ya kwanza Jackson akicheza wide anatupa vitu vizuri kama hivi. Anajua kuunganisha wenzake vizuri, anajua kuhold mpira na anajua kuanzisha build up na kuassists. Mimi namuona yeye kama wide winger kwa asili
View attachment 2907593
Kama Sterling angekuwa anacheza hivi mechi kwa mechi, wiki hadi wiki, tungekuwa sasa tunajigamba tukiwa ndani ya top 4
 
Manure wanatuponda hivi na sisi tukawaponda kwa jiwe hilo hilo tena la usoni
1708257462440.png
1708257510541.png
 
Tunapotofautiana mimi na nyie ni upotoshaji.

Hakuna taaluma ya ukocha duniani kote inayofundisha mfumo wa kuacha gap kati ushambuliaji na viungo au viungo na mabeki. HAKUNA. Isipokuwa kinachotokea kama ikifika hatua hiyo ni wachezaji wenyewe kujisahau na sio mfumo wa kocha. Unachokiona kwa Chelsea ni aina wachezaji tulionao hasa kwa Enzo na Gallagher hawa ni CM lakini wana nature ya attacking minded hasa wote wanapokua wamepanda ikitokea tunashambuliwa inakua changamoto kufanya transition ndio maana Caicedo analaumiwa sometimes coz most time anajikuta yuko peke yake.

Mfano game dhidi ya Aston Villa Enzo hakuwa anapanda na ilichezwa double pivot ya Enzo na Caicedo ndio maana hukuwa unaona hayo magap kama mechi nyingine za nyuma.
Umefafanua vizuri mzee baba
 
Huyo jamaa anaandikaga vitu kulingana na uwezo wake mdogo wa kufikiri, naonaga mnapotezaga muda kubishana nae.

Imagine mtu anakwambia wachezaji ndio huwa wanajiamulia wachezeje!!! kama ni hivyo kuna maana gani y kuwa na kocha sasa?.
Wewe hufuatilii hii mada imetoka wapi Halafu msitumie hisia muelewe. Hiyo mada unayosema aliyeanza kuisema ni mwenzenu juan david kwamba kocha hana mchango hivyo wachezaji wanacheza kwa juhudi zao wenyewe ndio na mimi nikaanza kumbishia hapo. Nashangaa mnasema mimi ndio nimesema!

Hapa tunabadilishana mawazo kwa kile mtu anachoelewa kama unaona huwezi kaa kimya usianze kunanga watu pembeni huo ni umama. Niface mimi niambie
 
Wewe ndie unapotosha tena bila kuwa na clue ya dynamics za soka. Kocha anatakiwa kutoa maagizo nje na ndani ya uwanja mtu kama hatii maagizo weka pembeni. Sijui hii notion ya kwamba wachezaji ndio wanajiamulia umeitoa wapi. Hiyo timu ambayo wachezaji wanaenda kinyume na maagizo ya kocha labda ni hizi za makapurwa wa karioakoo au mwembechai au huku kwetu Unga ltd na ngarenaro
Msiwe mnabishana kushindana muwe mnaelewa kwanza ndio. Hiyo notion unayoisema aliisema mwenzako kwamba wachezaji wanajiamulia wenyewe bila kufuata maagizo ya kocha hapo ndipo mimi nikaanza kumbishia. Nashangaa mmejikusanya kunishambulia kama vile mimi ndio nimeiamzisha.

Kaeni mjadiliane muumalize huo mgogoro.
 
Msiwe mnabishana kushindana muwe mnaelewa kwanza ndio. Hiyo notion unayoisema aliisema mwenzako kwamba wachezaji wanajiamulia wenyewe bila kufuata maagizo ya kocha hapo ndipo mimi nikaanza kumbishia. Nashangaa mmejikusanya kunishambulia kama vile mimi ndio nimeiamzisha.

Kaeni mjadiliane muumalize huo mgogoro.

Naomba hiyo Post mkuu hembu itafute unitag
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom