Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Madueke
Madueke
Ngoja tuoneMadueke mnamuona jama? Lakini lawama zitaenda kwa kocha
Madueke mnamuona jama? Lakini lawama zitaenda kwa kocha
Match dhidi ya Aston Villa unataka uanze na striker Broja ambaye kila siku anashindwa kufunga? Plan yake ni kuanza full mkoko ndio maana kamuanzisha Palmer kama striker. Haya Chilwell katoka majeruhi huwezi kurisk kuanza kumpa dakika 90 ni risk kwake hivyo lazima aingie kidogo kidogo. Sub zake zinaeleweka katoa Sterling kaingia Mudryk, katoka Madueke kaingia Broja ili Palmer arudi position yake.Nadhan kuna kitu mkuu unashindwa kuelewa, watu huwa wanalalamika upangaji wake, uchezaji, kushindwa kufanya sub, etc
Issue sio sub za Poch ni mabadiliko ya kimuundo katika uchezaji. Palmer alirudi position yake ila tatizo letu bado ni striker huyu Broja majeraha yamemuharibu kabisa.Unaona kinachotokea sasa na Sub zake za hovyo wakat game alikuwa ashaikamata
Match dhidi ya Aston Villa unataka uanze na striker Broja ambaye kila siku anashindwa kufunga? Plan yake ni kuanza full mkoko ndio maana kamuanzisha Palmer kama striker. Haya Chilwell katoka majeruhi huwezi kurisk kuanza kumpa dakika 90 ni risk kwake hivyo lazima aingie kidogo kidogo. Sub zake zinaeleweka katoa Sterling kaingia Mudryk, katoka Madueke kaingia Broja ili Palmer arudi position yake.
Anachokifanya Poch ni rotation sijui ni nini mnashindwa kuelewa. Leo ambaye amecheza out of position ni Gallagher peke yake ambaye hakukua na namna lazima angecheza kwa sababu hakuna mtu mwingine anaiweza hiyo position. Mbona ni vitu simple vinajieleza na kuonekana sijui kwa nini hamuoni. Mtalaumu tu
Issue sio sub za Poch ni mabadiliko ya kimuundo katika uchezaji. Palmer alirudi position yake ila tatizo letu bado ni striker huyu Broja majeraha yamemuharibu kabisa.
Gilchrist ndio alikuwa stopper , alipotoka tu tujapigwa msako wa nyani kwenye shamba la mahindi , Villa wamecheza vizuri baada ya Yule dogo kutokaYani tangu Poch afanye sub ya (Gilchrist off n Chilwell On) ni kama Villa wameanza kurudi mchezoni. Wakat tulikuwa tushawakamata walikuwa hawapandi kabisa
Sehemu nyingi zinadai ni £30,000 gross per weekSidhan kama David fofana anapata hiyo, hata Enzo tu hapati hiyo only sterling na james
Kipindi cha pili tulilemewa baada ya sub ya Gilchrist na Madueke, Aston Villa waliweza kupeleka mashambulizi ya mara kwa mara kwenye lango la Chelsea, Umahiri wa golkipa ndio uliotuokoaSub alizofanya ndio zimeenda kubadilisha muundo au unahis wachezaj huwa wanaweka muundo wao wenyewe kama maelezo ha Kocha
Madueke anacheza vizuri, kosa kosa ya madueke ni kawaida kwa wachezaji wenye umri kama wake. Tatizo la Poche kulalamikiwa ni mfumo wake wa uchezaji na upangaji mbovu wa wachezaji, kupendelea wachezaji fulani na kuwa axe wengine bila sababu. Issue itakayobaki ni mashab iki waliokuwa wakisema wachezaji wa Chelsea ni wa viwango vya chini. na Sisi wengine tunakataa hilo. hawa wachezaji tulionao ni wa viwango vya juu, ubovu ulikuwa kwa kocha kulazim isha mifumo isiyofanya kaziMadueke mnamuona jama? Lakini lawama zitaenda kwa kocha
Kipindi cha pili tulilemewa baada ya sub ya Gilchrist na Madueke, Aston Villa waliweza kupeleka mashambulizi ya mara kwa mara kwenye lango la Chelsea, Umahiri wa golkipa ndio uliotuokoa
Gilchrist ndio alikuwa stopper , alipotoka tu tujapigwa msako wa nyani kwenye shamba la mahindi , Villa wamecheza vizuri baada ya Yule dogo kutoka