Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wengine hata hiki kidogo hawakioni wanachojua wao ni kulaumu tu huku baadhi wakiamini tunapata ushindi kwa juhudi binafsi za wachezaji. Hakuna positivity kwa bench wanachojua ni kulaumu tu
Mashabiki wa The Blues pale London wangekuwa na -ve mind kama za hapa, ungekuta walishachoma ofisi za club na walishamuua Poche na Sterling.
 
Mkuu kama hujaangalia mpira better usiongee chochote especially kipindi cha kwanza

Huwezi miliki mpira 80% halaf attempt ni moja tu tena off target iliyokuja dakika ya 40s
dk ya 45 kamili kutoka kwa Gallagher
Walicheza utumbo kabisa na kwa vile huku watu ni wabishi, hatutashangaa hata ambaye hakuangalia mpira atamtetea Pochettino
 
Wewe chief hukuangalia mechi ni bora usikoment ukaingia ndani sana. Furahia points 3 inatosha, tumecheza jana kama watoto wa mtaani
Tukikutana na City na huu utani wa Pochettino wa jana tutatumbuliwa hadi usaa wote utoke
Mkuu mi najua nini nachokiandika hapa. Najua sikuangalia ila nachoandika hapa ni fact haijalishi sikuangalia otherwise uamue tu we mwenyewe kupuuza.

Sterling jana hakuanza, Chilwell captain, Gallagher kaweka mbili kambani. Madueke bado hali ni ile ile.
 
Mkuu mi najua nini nachokiandika hapa. Najua sikuangalia ila nachoandika hapa ni fact haijalishi sikuangalia otherwise uamue tu we mwenyewe kupuuza.

Sterling jana hakuanza, Chilwell captain, Gallagher kaweka mbili kambani. Madueke bado hali ni ile ile.
Hapo hakuna facts hata kidogo, ukiambiwa ukweli unakwepa. Kule Twitter kuna wachambuzi wanaojua mpira na kuna waliokuwa wanamtetea Pochettino hadi inachefua, ila sasa wamelainika. Wanachosema Jana timu haikuandaliwa full stop. Kajitutumua kipindi cha pili tukabahatisha kwa vile ilikuwa ni Palace katika ubovu wao. Hakuna jambo la kuremba hapa. This coach is not Chelsea level
Ivory Coast wamemtim ua kocha katikati ya mashindano wakabeba kombe
Abramovich alikuiwa akitimua kocha haraka haraka hata katikati ya msimu tukawa tunabeba kombe
UCL zote mbili tumebeba baada ya kutimua kocha katikati ya msimu
Hawa wamiliki wa sasa konokono kwenye maamuzi ndio inatucost
Huyu kocha sio wa kumaliz amsimu kwa maoni yangu, ila basi twende naye naye tu ila akibaki msimu ujao, basi itabidi na jina wabadilishe iitwe "INCONSISTENCE FOOTBALL CLUB" AU IFC
 
Kajitutumua kipindi cha pili tukabahatisha kwa vile ilikuwa ni Palace katika ubovu wao. Hakuna jambo la kuremba hapa.
Mkuu hutaki ku admit kwamba timu ilionyesha ubora mpaka kufikia Palace kushindwa kufanya vizuri, unaishia kusema Palace walikua katika ubovu wao.

Ndio maana kuna siku nilikwambia unaongea nadharia tu kwa sababu ya hisia zako kwa wakati husika.
 
Wanaomponda Poche wamsubirie kocha mwingine HERDMAN kutoka MLS.
images.jpg
 
Bayern considered late January move for Mykhaylo Mudryk on loan from Chelsea, but it was not even a concrete negotiation.No chance as Chelsea didn’t want Mudryk to leave and so Bayern focus was on bringing Bryan Zaragoza to the club.
@Fabrizio Romao
1707823158503.png
 
Enzo Fernandez: "I don't want to leave Chelsea. I am very good here with my teammates and coaching staff, from the first day I have arrived"."The people at the club are treating me very well, I'm grateful for that. I will continue here until they want me to", told ESPN.
1707823254221.png
 
Mkuu hutaki ku admit kwamba timu ilionyesha ubora mpaka kufikia Palace kushindwa kufanya vizuri, unaishia kusema Palace walikua katika ubovu wao.

Ndio maana kuna siku nilikwambia unaongea nadharia tu kwa sababu ya hisia zako kwa wakati husika.
Kocha wa kubahatisha sio size ya Chelsea
 
SAsa ninaposema wakati mwingine waxhezaji nao wanachangia muwe waelewa. Sina hakika kama Poch anafundisha kumiliki mpira kwa asilimia 79 halafu awafundishe na kupifa off target.

Kwamba unataka kusema wachezaj ndio wanaoamua kucheza hivyo

Yani kama wanaamua kucheza hivyo basi mpaka sasa hiv poch asingekuwepo hapo maana wachezaj hawamtaki mpaka wanaamua kucheza watakavyo.

If wachezaji wangekuwa wanacheza wanavyotaka basi hata second half wasingebadilika mkuu
 
Jana dk 45 za mwanzo chelsea licha ya kumiliki mpira kwa zaidi ya asilimia 65 walifanikiwa kupiga shuti moja tu tena off-target. Palace walionekana kucheza direct attacking football. Pia walikuwa wanakaba kwa low block...chelsea ilikuwa inapiga pasi tu katika half yao lakini kwenye final third walikuwa hawana jambo.

Madueke alicheza chini ya kiwango iliyopelekea kutolewa kpindi cha pili. Second half ,chelsea ilibadilika na kucheza direct wakaacha kupiga side na back passes zisizokuwa na maana. Walikosa chance kadhaa licha ya palace nao kushambulia kwa kushtukiza wakimtumia winga wao chipukizi wa kibrazil Mattheus França na Mshambuliaji Mateta.

Game ilikuwa inaenda kuisha suluhu, pongezi kwa sterling kwa kufanya counter attack na kufanikiwa kuvuka kigingi cha palace na kupeleka mpira kwa palmer ambaye alimpasia Gallagher aliyefanya matokeo kuwa 1-2...kabla ya Enzo kushindilia msumari wa tatu kwa mwewe wa kusini mwa jiji la London.

Kitendo cha Poch kubadili mbinu na kutumia namba kumi wawili ndio kilimfanya Gallagher kupata nafasi ya kufunga. Jana nilimkumbuka yule Gallagher wa Crystal palace, maana alikuwa anafunga sana.
 
Kwamba unataka kusema wachezaj ndio wanaoamua kucheza hivyo

Yani kama wanaamua kucheza hivyo basi mpaka sasa hiv poch asingekuwepo hapo maana wachezaj hawamtaki mpaka wanaamua kucheza watakavyo.

If wachezaji wangekuwa wanacheza wanavyotaka basi hata second half wasingebadilika mkuu
Point yangu ilikua inamaanisha wakati mwingine coach analaumiwa kwa makosa ya wachezaji
 
Point yangu ilikua inamaanisha wakati mwingine coach analaumiwa kwa makosa ya wachezaji

45mins useme ni makosa ya wachezaji. Wachezaj wanafata maelekezo ya mwalim na ndio maana ukiangalia uchezaji wa caicedo n enzo katika game ya villa na jana nitofauti

Katika game ya Villa, enzo na caicedo walikuwa wako karibu sana baina yao na distanc ya mabek na viungo ma viungo na washambuliaji haikuwa kubwa

Ila jana kulikuwa kuna gap kubwa kila mahali
 
45mins useme ni makosa ya wachezaji. Wachezaj wanafata maelekezo ya mwalim na ndio maana ukiangalia uchezaji wa caicedo n enzo katika game ya villa na jana nitofauti
Ndio maana nikakuuliza tuliweza kumiliki mpira kwa 79% bila on target nayo ni maelekezo ya kocha?
 
Mshabiki mmoja wa Chelsea anasema
Chelsea wenzangu, hatuna team hatuna kucha hatuna mmiliki.
Trip moja shamba trip moja gereji... hata top 10 hatutapa.
 
45mins useme ni makosa ya wachezaji. Wachezaj wanafata maelekezo ya mwalim na ndio maana ukiangalia uchezaji wa caicedo n enzo katika game ya villa na jana nitofauti

Katika game ya Villa, enzo na caicedo walikuwa wako karibu sana baina yao na distanc ya mabek na viungo ma viungo na washambuliaji haikuwa kubwa

Ila jana kulikuwa kuna gap kubwa kila mahali
Gap kubwa ndio zuri mchezaji anacover eneo kubwa, anavuja jasho anakula mshahara kihalali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom