juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Nilikuuliza swali ukanijibu kipuuzi na mimi nikaamua kujibu kipuuzi. Notion ya wachezaji kucheza bila coaching effort aluwahi kuisema huyo jamaa yako ndio namimi nikaanzia hapo kumbishia sasa hivi ananibishia. Naelewa kila ninachoandika
Nani aliyekuwa anaongea hivyo



Original post hii hapa
Unaongea kitu halaf saiv unakana kama hujawah ongea