Hujanielewa hata nachozungumza umekurukupuka. Ngoja ni summarize, nilichomaanisha ile nafasi acheze nani pale mbele au unalazimisha abadili mfumo acheze bila striker anachezaje?
Amalazimika kufanya ivyo kumchezesha striker kutokana na ufinyu wa kikosi. Nakumbuka huku nyuma mlikua mnalalamika anawachezesha wachezaji out of position hasa Colwill kama LB na Disasi kama RB wakati ambao Chilwell, Gusto walikua majeruhi nikawa nawaambia awachezeshaje na wakati hakuna watu wa maeneo hayo?
Wakuu hivi huwa tunaelewana kwenye hizi mada au tunabishana tu ilimradi?