Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,177
- 104,785
Huko mbali sana, Chelsea ilikuwa ni ile ya TuchelChelsea ilikuwa ya akina Bosingwa, Cole, Anelka n.k
Sio hii
Huko mbali sana, Chelsea ilikuwa ni ile ya TuchelChelsea ilikuwa ya akina Bosingwa, Cole, Anelka n.k
Sio hii
Tofauti ya points 2 hadi nafasi ya 7
Tunaweza kushika namba 7 kama Poche atajitambua
Kama atajenga timu chini ya Nkunku ili apatiwe huduma ya maana




Tatizo ni kwamba tutacheza na Man City tena kwakeTofauti ya points 2 hadi nafasi ya 7
Tunaweza kushika namba 7 kama Poche atajitambua
Kama atajenga timu chini ya Nkunku ili apatiwe huduma ya maana
Tukicheza hivi kigoigoi mbele ya city na mashabiki wao tutanyeheshewa mvua ya magoliTatizo ni kwamba tutacheza na Man City tena kwake
Chief mbona unacheka?

Akiba ya maneno itakusaidia siku moja. Usipende kuzungumza tu ili mradi na wewe uonekane umenena.Watu huwa wabishi sana humu ndani.
Watakuwa kupoint mistake ya madueke wanasahau uchezaji wetu
Kwa uchezaji huu tunaweza cheza hata dakika 520 na bado tusipate goal
Kushinda against Villa wanahisi ni bonge la Kocha wanasahau kuwa villa wenywe walikuwa open
Against A low block team Poch hana uwezo huo na wachezaj wake wa kukimbia wakina Galagher katila game inayohitaj creativity
Against big boys away tuko hapa
42mins hatuna attempt yoyote![]()
Kutokana na kukata umeme kiukweli game sijaianfalia. Hawa tweeter warriors huwa sipendi kuwaamini sana maana wanapost kulingana na hisia zao.
Wengine hata hiki kidogo hawakioni wanachojua wao ni kulaumu tu huku baadhi wakiamini tunapata ushindi kwa juhudi binafsi za wachezaji. Hakuna positivity kwa bench wanachojua ni kulaumu tuHONGERENI THE BLUES KWA USHINDI![]()
Hata wewe mkuu unaweza kuwa X warrior kulingana na mitazamo yako.Kutokana na kukata umeme kiukweli game sijaianfalia. Hawa tweeter warriors huwa sipendi kuwaamini sana maana wanapost kulingana na hisia zao.
Akiba ya maneno itakusaidia siku moja. Usipende kuzungumza tu ili mradi na wewe uonekane umenena.
Kutokana na kukata umeme kiukweli game sijaianfalia. Hawa tweeter warriors huwa sipendi kuwaamini sana maana wanapost kulingana na hisia zao.
Uko sahihi lakini mantiki yangu ilikua ni kujaribu kusawazisha fikra za watu wanaodhani kila kinacho postiwa tweeter basi wao wako sahihi au wanajua sana. Hapana hata wao wako sawa na sisi walichotuzidi ni kuwa na wafuasi tu huko tweeter.Hata wewe mkuu unaweza kuwa X warrior kulingana na mitazamo yako.
Mbona kuna mitazamo kibao hapa tunatoa baada ya muda kupita ndio unaona x wanapost mtazamo kama wako ambao ulishauona siku nyingi na ulishasahau.
Mpira hauchezwi chumbani, kila mtu ana uwezo wa kutoa mitazamo yake kulingana na mechi na mwenendo wa timu. Mitazamo inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi (Kimahaba, Kiushabiki, Kiufundi, Kimaslahi, Chuki n.k)
Hata wamiliki wa timu nao wana mitazamo yao ndio maana walimfukuza TT aliyebeba makombe makubwa kwa muda mfupi, wakatuletea Porter, Lampard na sasa Poche na mwisho msimu wanatuletea kocha kutoka MLS.
Wewe chief hukuangalia mechi ni bora usikoment ukaingia ndani sana. Furahia points 3 inatosha, tumecheza jana kama watoto wa mtaaniWengine hata hiki kidogo hawakioni wanachojua wao ni kulaumu tu huku baadhi wakiamini tunapata ushindi kwa juhudi binafsi za wachezaji. Hakuna positivity kwa bench wanachojua ni kulaumu tu
SAsa ninaposema wakati mwingine wachezaji nao wanachangia muwe waelewa. Sina hakika kama Poch anafundisha kumiliki mpira kwa asilimia 79 halafu awafundishe na kupiga off target.Mkuu kama hujaangalia mpira better usiongee chochote especially kipindi cha kwanza
Huwezi miliki mpira 80% halaf attempt ni moja tu tena off target iliyokuja dakika ya 40s