Kuna mambo mengi yaliyojitokeza hata kabla ya TT kufukuzwa kwanza kilikuwa na mvutano kuhusu Lukaku wa Wamiliki na TT, Ronaldo na treatment ya TT dhidi ya wachezaji vijana kuwa mbovu, pamoja na mivutano hiyo the end Wamiliki wakaamua kushusha mabega chini na wakamtii TT ili waone TT ataipeleka wapi team msimu ulivyooanza team ikawa achezi vizuri si tu hatupati matokeo mazuri pekee hata uchezaji wetu ni mbovu, kuna wakati baadhi ya wachezaji wakawa wanalalamika mbinu za kocha, TT pia akawa awaamini vijana japo kasajiliwa na Wamiliki na siku zinavyozidi TT anadizi kupoteza dress room na huku akiendelea kupata matokeo mabaya.Baada ya Wamiliki kuona sera yao ya kutengeneza kikosi kizuri chenye mkusanyiko wa vijana na wakongwe hawaoni ikifanyika chini ya TT na mambo mengine niliyotaja ndio wakaona muda sasa wakufukuza