Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi
Ni vichekesho sana, Chelsea sio timu ya kuokota okota makocha , ni timu ya kuoambania vikombe tena vile vizito , Kwa hapo huhitaji kocha wa kubahatisha ... TT hakutakiwa kufukuzwa Kwa mda huu, ndo amesajili zaidi na timu bado haipo organized ,mana wachezaji wengi wapya wameinga wengine hata mwez hawana
 
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Wakati pep anapewa mikoba bale barca alikuwa na experience gani kumzidi Potter wa sasa Zidane je ? Haya mambo hayana assurance usajil wa kocha na wachezaji ni betting
 
Graham Potter ni kocha wa ajabu sana, wachezaji wa chini kabisa lakini ana matokeo mazuri kuliko Man U, Chelsea wenye wachezaji wa bei mbaya
Graham Potter ni kocha mzuri ila kwa mentality ya Chelsea atakuja kuonekana kocha mbovu na atatimuliwa ndani ya muda mfupi. Niliwahi kusema humuhumu hasa kile kipindi cha Sarriball hatutakuja kuwa na consistence nzuri kama hatutaacha utaratibu wa kuwapa pressure makocha. Tuna employ makocha wazuri kama Sarri na Tuchel ila nao wanafall kwenye ile pressure ya kutaka kuprove haraka ili ajenge CV yake mapema kabla ya kutimuliwa. TT na Sarri wote wametupa European Trophy wameondoka na CV zao ila ni Chelsea ndio imebaki ina struggle kwa kutokua na muendelezo unaoeleweka

Binafsi TT alipofikia sikuona kama ana haja ya kuendelea kuwepo Chelsea. Kilichonishangaza kwa TT mpira na zile tactics alizokua anatumia sasa hiv hazipo tena hata kama tumepoteza wachezaji ila nilichoona TT alipoteza nguvu yake dressing room ndio maana tukawa tunacheza vile.

Sasa hivi zinazuka tetesi za Graham Potter inanikumbusha enzi za David Moyes na Everton yake mpaka kwenda Man Utd na mpaka kilichotokea kiukweli sitegemei kuona tofauti yoyote hasa kwa nature ya ushabiki tulionao
 
Kwa kile kilichokua kinaendelea uwanjani, press conference hakukuwa na namna nyingine zaidi ya yeye kutupisha changamoto iliyopo nani atakuja kuziba nafasi yake.

Graham Potter au Pochetino?
 
Graham Potter ni kocha mzuri ila kwa mentality ya Chelsea atakuja kuonekana kocha mbovu na atatimuliwa ndani ya muda mfupi. Niliwahi kusema humuhumu hasa kile kipindi cha Sarriball hatutakuja kuwa na consistence nzuri kama hatutaacha utaratibu wa kuwapa pressure makocha. Tuna employ makocha wazuri kama Sarri na Tuchel ila nao wanafall kwenye ile pressure ya kutaka kuprove haraka ili ajenge CV yake mapema kabla ya kutimuliwa. TT na Sarri wote wametupa European Trophy wameondoka na CV zao ila ni Chelsea ndio imebaki ina struggle kwa kutokua na muendelezo unaoeleweka

Binafsi TT alipofikia sikuona kama ana haja ya kuendelea kuwepo Chelsea. Kilichonishangaza kwa TT mpira na zile tactics alizokua anatumia sasa hiv hazipo tena hata kama tumepoteza wachezaji ila nilichoona TT alipoteza nguvu yake dressing room ndio maana tukawa tunacheza vile.

Sasa hivi zinazuka tetesi za Graham Potter inanikumbusha enzi za David Moyes na Everton yake mpaka kwenda Man Utd na mpaka kilichotokea kiukweli sitegemei kuona tofauti yoyote hasa kwa nature ya ushabiki tulionao
Fact,

Inshort kama tuna muweka Potter aje atupe mafanikio ya haraka tutakuwa tumejipiga risas kwenye mguu,

Kama wanaamini katika project,Potter ni mtu sahihi je atapewa mda pale matokeo yakienda ndivyo sivyo???
Rebuilding sio kitu cha nusu msimu
 
Tuchel hajafutwa kazi sababu ya matokeo mabovu anayo pata ama kipigo cha GNK Dinamo. Fuatilia mambo ujue, usiwe mzembe kiasi hicho.
Watu wanashindwa elewa hii kitu, kuna vitu nje ya matokeo ndio vimemuondoa tuchel,
Maamuzi yalikuwa yashafanywa game 2 zilizopita kabla ya game ya uefa
 
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Tatizo mnakariri Makocha wawe na experience km wachezaji...kocha ukiwa na attributes za ukocha good leadership, strategies nzuri n tactics nzuri ataflourish Tu...na pia huyu potter Mbona wakati yupo n Brighton ameshawasumbua Makocha wakubwa Tu tena akiwa n wachezaji wake WA midtable kashawachapa liver anfield, nyumbu msimu uliopita alisulubiwa 4 n kaanza msimu huu kamchapa ten hag , arsenal ya arterta ilishapigwa nje ndani, kaisumbua Chelsea ya Tuchel Sana, maswala ya experience ye sio Mchezaji ....kitakachomsumbua Labda n pressure from medias n mashabiki n tofauti na ya kule alipokuwa Brighton ....NI kocha mzuri Sana waingereza walimpigia chapuo kuchukua nafasi ya Gareth Southgate pale England national team
 
Hivi klopp kipind anapewa borussia Dortmund alikuwa na experience gan? Guardiola kipind anapewa Barca je? Conte kipind anapewa Juventus je? Kuna mtu yyte alikuwa anamjua Wenger kabla hajaenda arsenal? Vipi kuhusu Ferguson kabla hajapewa man u? England saiv ukitaja guardiola, klopp, na arteta lazm watatu wanaofuata utamtaja Potter.
Nnaamin potter ni kocha mzuri sana kuliko hao waliopo sokoni poch na zizou.
#blue forever 💙💙💙💙💙💙
 
Klopp kala nne uko ..Mimi naona timu ilifanya haraka sana kumtimua TT
TT hakutimuliwa kwa kula 1
  1. Kaanza ligi vibaya
  2. Anamaghusiano mabaya na baadhi ya wachezaji dressing room
  3. Lakini zaidi, Boehly na wenzake walipanga tu kuondoa masalia ya Abramovich pale darajani,
Akimaliza kwa staff atahamia kwa wachezaji wale wote waliosajiliwa enzi za Abramovich wataondolewa sio kwa sababu ni wabaya au Abramovic alikuwa mbaya ila ni taratibu tu ya new ownership kutengeneza new management na new team itakayokuwa rahisi kuipliment maono mapya ya team
 
TT hakutimuliwa kwa kula 1
  1. Kaanza ligi vibaya
  2. Anamaghusiano mabaya na baadhi ya wachezaji dressing room
  3. Lakini zaidi, Boehly na wenzake walipanga tu kuondoa masalia ya Abramovich pale darajani,
Akimaliza kwa staff atahamia kwa wachezaji wale wote waliosajiliwa enzi za Abramovich wataondolewa sio kwa sababu ni wabaya au Abramovic alikuwa mbaya ila ni taratibu tu ya new ownership kutengeneza new management na new team itakayokuwa rahisi kuipliment maono mapya ya team
Nadhani hiyo point tatu ndiyo ya muhimu na yenye mashiko.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Graham Potter ni kocha mzuri ila kwa mentality ya Chelsea atakuja kuonekana kocha mbovu na atatimuliwa ndani ya muda mfupi. Niliwahi kusema humuhumu hasa kile kipindi cha Sarriball hatutakuja kuwa na consistence nzuri kama hatutaacha utaratibu wa kuwapa pressure makocha. Tuna employ makocha wazuri kama Sarri na Tuchel ila nao wanafall kwenye ile pressure ya kutaka kuprove haraka ili ajenge CV yake mapema kabla ya kutimuliwa. TT na Sarri wote wametupa European Trophy wameondoka na CV zao ila ni Chelsea ndio imebaki ina struggle kwa kutokua na muendelezo unaoeleweka

Binafsi TT alipofikia sikuona kama ana haja ya kuendelea kuwepo Chelsea. Kilichonishangaza kwa TT mpira na zile tactics alizokua anatumia sasa hiv hazipo tena hata kama tumepoteza wachezaji ila nilichoona TT alipoteza nguvu yake dressing room ndio maana tukawa tunacheza vile.

Sasa hivi zinazuka tetesi za Graham Potter inanikumbusha enzi za David Moyes na Everton yake mpaka kwenda Man Utd na mpaka kilichotokea kiukweli sitegemei kuona tofauti yoyote hasa kwa nature ya ushabiki tulionao
Pamoja na kwamba unayosema ni kweli mtupu ila kumbuka pia kuwa ubadilihsaji wa makocha ndio unatupa kutamba mitaani kwa makombe tunayobeba. Kuna timu zinakaa na kocha hadi inabandikwa tags kwamba wao hawanaga plan za kubeba makombe. Hiyo hiyo presure atakuja nayo Graham Potter usishangae akabeba EPL au UCL

Bahati mbaya tuliyonayo Chelsea ni dressing room
Makocha tunaowaajiri hawajui kuidhibiti dressing room
Aliweza kidogo Sarri ila naye akatimua kabla hajafukuzwa, japo mimi ningeamini Sartri angekaa muda mrefu kwa sababu alikuwa ana hekima ya kudela na dressing room
Ila hawa wengine wakiongozwa na MOU, Conte na huyu kichaa TT wamefeli hapo Dressing room. Tuseme ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom