Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,702
- 35,755
Ni vichekesho sana, Chelsea sio timu ya kuokota okota makocha , ni timu ya kuoambania vikombe tena vile vizito , Kwa hapo huhitaji kocha wa kubahatisha ... TT hakutakiwa kufukuzwa Kwa mda huu, ndo amesajili zaidi na timu bado haipo organized ,mana wachezaji wengi wapya wameinga wengine hata mwez hawanaUyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi

