Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Joe Cole (mshabmuliajiw a zamani wa Chelsea) akihojiwa na BT Sport anadai Koulibally anatakiwa kuweka balance ya defense. ameonekana mara kadhaa akiwa upande usiostahili, anadai kwa mchezaji kama Koulibally kwa miaka 31 na uzoefu wa kutosha alitakiwa kutengeneza balance kwenye defense. Pia kadai kule mbele washambuliaji hawajiamini hawana magoli wala assists
 
Chelsea yetu ya sasa ni nzuri na itatupa motokeo ni suala la mda idara nyingi zimekamilika baada ya Auba kufika.
isipo kua timu inakosa kiongozi wa team kuongoza wachezaji awe match reader na mbunifu, aina ya hazard. Willlian Terri nk.

TT sio mbaya kiasi hicho kama mnavo msema isipo kua na sisi washabiki tunahitaji quick results na pia timu selection yake some time inakua na kasoro hususani kuamini hao vijana wasio kua na uzoefu na ubunifu Plusic + Mount + ziechy + Kei = hao ndo watakao mgharimu atafute mfumo unao walazimu kuanzia bench.
Kweli dunia ni mzunguko!
Wakati sisi tunalia mizee ipumzike, vijana wapewe nafasi ili wapate uzoefu...Wewe unasema waanzie benchi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea yetu ya sasa ni nzuri na itatupa motokeo ni suala la mda idara nyingi zimekamilika baada ya Auba kufika.
isipo kua timu inakosa kiongozi wa team kuongoza wachezaji awe match reader na mbunifu, aina ya hazard. Willlian Terri nk.

TT sio mbaya kiasi hicho kama mnavo msema isipo kua na sisi washabiki tunahitaji quick results na pia timu selection yake some time inakua na kasoro hususani kuamini hao vijana wasio kua na uzoefu na ubunifu Plusic + Mount + ziechy + Kei = hao ndo watakao mgharimu atafute mfumo unao walazimu kuanzia bench.
Sio mbaya ila kashindwana na wachezaji, Kashapotea na kwa sasa anajaribu kuyaokota maji na kuyarudisha kwenye gunia
 
Ashley Cole

William Gallas

Cesc Fabregas

Oliver Giroud

Walipotoka kule kwa gooners ,asenyeto aser8

Wakaja darajani wote walibeba makombe.

Ukiwafatilia hadi Leo kwenye mitandao yao wanaizungumzia zaidi Chelsea kama nyumbani kwao kuliko kule kwa pretenders wa ligi.
Hiki ndicho kinachowaumiza zaidi
 
Hizi kenge za darajani kabla ya kuzibuliwa masikio wahuni wanaanza kuzizibua makalio kwanza.
tapatalk_1860480160_474x438.jpg
 
Ashley Cole

William Gallas

Cesc Fabregas

Oliver Giroud

Walipotoka kule kwa gooners ,asenyeto aser8

Wakaja darajani wote walibeba makombe.

Ukiwafatilia hadi Leo kwenye mitandao yao wanaizungumzia zaidi Chelsea kama nyumbani kwao kuliko kule kwa pretenders wa ligi.
Kwa Gallas umekosea, alitoka Chelsea akaenda Arsenal
Wachezaji waliotoka Chelsea na kwenda kufuata aibu ARse8 ni hawa hapa
  1. William Gallas
  2. Petr Čech
  3. David Luiz
  4. Willian
 
Kweli dunia ni mzunguko!
Wakati sisi tunalia mizee ipumzike, vijana wapewe nafasi ili wapate uzoefu...Wewe unasema waanzie benchi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hao wamepewa nafasi za kutosha ila wameshindwa ku-prove kama wanaweza kufunga hawawezi kabisa Mount na Kei pamoja na Zienchy hawakuonekana kwenye match ya jana kwanini ung'aganie hao wachezaji potential flopers japo umri wao bado sana.
 
Ashley Cole

William Gallas

Cesc Fabregas

Oliver Giroud

Walipotoka kule kwa gooners ,asenyeto aser8

Wakaja darajani wote walibeba makombe.

Ukiwafatilia hadi Leo kwenye mitandao yao wanaizungumzia zaidi Chelsea kama nyumbani kwao kuliko kule kwa pretenders wa ligi.
Waliotoka Arsenal kati ya 2004 hadi sasa na kuja kuvuna mataji Chelsea ni
  1. Ashley Cole
  2. Nicholus Anelka
  3. Cesc Fabregas
  4. Oliver Giroud
  5. Aubameyang naye atapata mataji soon
 
Hiyo chance sikuona nilikuwa sijakaa kwenye TV lakini nilikuta watangazaji wakimlaumu Auba kwa kufanya judgement mbaya, nafasi hiyo alitakiwa apige mwenye akajifanya mkarimu mno
Huwezi kuita ni judgement mbaya wakati pass aliyompa sterling ilikuwa nzuri na sterling alikuwa yupo pekee yake ingawa pia alikuwa na nafasi nzuri yeye nae kufunga yeye akachagua kumpa sterling
 
Huwezi kuita ni judgement mbaya wakati pass aliyompa sterling ilikuwa nzuri na sterling alikuwa yupo pekee yake ingawa pia alikuwa na nafasi nzuri yeye nae kufunga yeye akachagua kumpa sterling
All in all sio judgement nzuri kama alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga
 
Hiyo chance sikuona nilikuwa sijakaa kwenye TV lakini nilikuta watangazaji wakimlaumu Auba kwa kufanya judgement mbaya, nafasi hiyo alitakiwa apige mwenye akajifanya mkarimu mno
Angepiga na kukosa bado mngemlaumu vilevile kuwa ni mbinafsi,kwanini hakumpasia mwenzie akiyekuwa sehemu nzuri zaidi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom