Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

View attachment 1802144

1622357181151.png
 
Hongera ziende kwa TT kwa ujumla timu nzima ukweli tulikuwa na hali mbaya kipindi cha Lampard naye anastahili pongezi zake

Pia bila kumsahau boss kubwa Roman Abramovich bila yeye Chelsea tusingekuwa na mafanikio haya tuliyonayo leo

Kikubwa tujipange na msimu ujao tumuamini TT aijenge ile timu aliyoahidi mwenyewe hongereni wana blues wote london is blue
Lampard angeondoka mapema tungechukua hata ubingwa wa EPL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oyah, Bab kubwa mulistahili ubingwa, hongera kwenu.

Wapi PAPAA GX , wapi jinga jinga Orachuchug, na machelkenge mengine yote.

VOCES SAO CAMPIONDOS.
PARA BEM MEUS AMIGOS.
Tumewaondolea aibu ya kutambiwa na Man Shit ndani ya jiji 1 sababu angebeba makombe matatu(Carabao, EPL na UEFA).

Sijui sura zenu mngeficha wapi Man Utd...
 
Kuna kitu nilikua nakiwaza nahis TT alikua anawaza kama nilivyokua nawaza, ni hivi hichi kikosi TT hakukitumia kwnye Final y FA sababu PEP angekisoma kikosi chake cha maangamizi, ndio mana alibadilisha wachezaji, na ndio mana mechi za hivi karibuni alikua hata haeleweki anavyopanga wachezaji. Na nilijua kikosi cha leo kitakua kile cha Madrid, na tutashinda kirahis na kweli imekua hivyo.

Amini nakuambia tungepanga kikosi hichi final ya FA tungebeba, ila UEFA tungepoteza.
Uliwaza kama mimi mkuu, London is fullfilled with only blue color...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom