Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani hadi watu nisiowajua wameniquote nahisi kila mtu alikua ana hamu mechi iishe atafute kila nilipokoment.

Anyway, hongereni wazee.

Tafadhali mkiona mtu ameniquote baada ya hapa mpeni hongera kwa niaba yangu.
 
Hongera ziende kwa TT kwa ujumla timu nzima ukweli tulikuwa na hali mbaya kipindi cha Lampard naye anastahili pongezi zake

Pia bila kumsahau boss kubwa Roman Abramovich bila yeye Chelsea tusingekuwa na mafanikio haya tuliyonayo leo

Kikubwa tujipange na msimu ujao tumuamini TT aijenge ile timu aliyoahidi mwenyewe hongereni wana blues wote london is blue
 
Leo mkifunga hiki kikos ,ndio man city hii sio kina sterling hawaaa

---------- Erdeson -------

Walker -----stone----dias----zincheko

Gundogun-------frenandinho -------bernado

Mahrez --------KDB-----Foden



Mkitufunga hapo 90min full ,chelsea win kwa hicho kikosi ,basi nitanyoosha mikono kuwa saaa tushakuwa vibonde ....

Come on city
Jana Mount alipitia mitaa ya Gundogun na kumpasia Kai aliyekuwa mitaa ya Stone na Dias kabla hajatumbukiza kwenye tobo
 
Kesho CITY akitutangulia kufunga goli tuu tumeshapoteza mechi, uwezo wetu wa kusawazisha na kuongeza goli ni mdogo sana.

Ila CITY tukimtangulia goli tuna uwezo wa kulidefence na kuongeza la pili endapo atapaniki.

Ningependa Christensen acheze Ukuta unakuwa solid sana na azipu apandishe mashambulizi heavy, tofauti na james akipanda anapoteza mipira ovyo.

Chilwell - Joginho - Kante - Azipu

--Rudger - Thiago - Christensen--
Jana Azpilicueta alicheza kama captain, aliibeba timu kisawasawa
 
Chelsea wamebeba UCL bila striker, je tukimpata mmoja wa wale goal machine au beast itakuweje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom