Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii game tujitahidi tuimalize kipindi cha kwanza, nimeona kikosi cha Man City hakijabalance kabisa, Pep naona anakuja na mbinu ya kushambulia muda wote.
 
Fodeeeeeeeeen..it is City three Chelsea nill in Portugal.
Kumbe city mnawapenda eeeh? Makombe ya Ulaya safari hii hayaji Manchester, la kwanza lilishaota mbawa, la pili litaota mbawa soon.
 
1622311640686.png
 
The moment pulisic na Ziyech watakapoingia ndio man city watajua hawajui.
 
Wale wasiompenda Jo yupo
Kasoro ya lineup leo ni hii ya kumuweka Jorginho
Maombi yote yaelekezwe kwa Jorginho Bwana amjalie nguvu na stamina, asicheze rafu na asichoke mapema, awachezeshe wenzake kitaalamu kama taaluma yake aliyojaliwa na Mwenyezi Mungu ilivyo. Yaani acheze zile pasi fupi fupi na za kushtukiza kwenda golini mwa Man City na sio arudishe kwetu kama alivyofanya kwenye FA Final
 
Game mnakufa.

Nimeona formation na kikosi

Unless mkabe mkatoane kwenye penati
Gurdiola anaingia kama nyuki mwenye hasira. Inaonekana leo hataki kukauka kwenye goal letu.

Nakuapia, Anakufa hatoamini.
 
Mwenyezi Mungu awajalie wachezaji wetu wacheze vizuri na kutumia nafasi zinazo patikana, pia Mwenyezi Mungu atujaalie tuweze kutwa kombe hili. Amiin

Kila la kheri klabu yangu pendwa Chelsea FC, kuitizama Chelsea ikiwa inacheza ndio starehe yangu kubwa. Hakuna kitu na enjoy kama kuitizama Chelsea.

Panapo majaliwa tutakutana hapa baada ya mechi.
Ukibeba kombe nakunya kutoka Mwenge mpaka Posta,trust me Mark my words
 
Man city amejua fika kuwa hana watu wa kupaki basi hivyo ameamua kugunguka mazima.

If it works kombe lake, kinyume chake yatatokea kama ya madrid second leg.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom