lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,486
Ila maneno yake yaliudhi, anakwenda kubeba Ballon'DorHazard hakulazimisha kuondoka, aliyelazimisha ni yule kipa. Hazard anaweza kurud Chelsea mana hakuondoka kwa dharau.
Ila maneno yake yaliudhi, anakwenda kubeba Ballon'DorHazard hakulazimisha kuondoka, aliyelazimisha ni yule kipa. Hazard anaweza kurud Chelsea mana hakuondoka kwa dharau.
tulikwambia mpira sio rede
Soma comment yangu mpaka mwisho, labda huelewi:tulikwambia mpira sio rede au drafti.
Kakosa goli yeye na kipa juzi dhidi ya Arsenal.Kai tumepigwa?
Nipo hapa
Kwan Wachezaji wangapi wanakosa magoli ?Kakosa goli yeye na kipa juzi dhidi ya Arsenal.
Ni kama Torres. Kazingua akaja kuturn up siku ya UCL
Ulikuwa unahangaika Sana hapa ooooh Chelsea akija na mfumo 3-4-2-1 anafungwa ...mahaters bwana mtateseka Sana


