Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuanzia kesho namtoa kwa muda Drogba kwenye profile picture na kumweka N'golo Kante (mtu asiye na makuu, jana alivyogusa kombe baada ya kuvaa medali inafurahisha sana...kama analiogopa kombe vile!)
Huyo ndiyo zake..

Hata world Cup ilibidi wenzake wampelekee apige nalo picha..

Hana makuu.
Kinachofurahisha zaidi ana pumzi na anapiga kazi kwa bidii bila kuchoka.

Anapigiwa sana chapuo apewe Ballon D'io huku wakimpamba kuwa, Modric aliwahi kuipewa bila kufunga magoli.

Ngoja tusubiri zali laweza kuangukia kwa Kante
 
IMG_6180.jpg

IMG_6181.jpg
 
Kinachofurahisha zaidi ana pumzi na anapiga kazi kwa bidii bila kuchoka.

Anaigiwa sana chapuo apewe Ballon D'io huku wakimpamba kuwa, Modric aliwahi kuipewa bila kufunga magoli.

Ngoja tusubiri zali laweza kuangukia kwa Kante
jana alikuwa anashambulia kuliko Havertz na kukaba kuliko Rudiger, what a player we have. Huyo aliyemsajiligi BIG KUDOS
 
Werner anafurahisha kwa mbio zake hapo hapo anaudhi sana kwa blunders zake mbele ya goli
 
Jana James alimdhibiti vizuri sana Sterling
Ben Chilwell alimuweka chini ya ulinzi shirikishi Mahrez
Na Rudiger alimfanyia umafia KDB na kunikumbusha ile fainali ya 2018 kati ya Real Madrid na Liverpool jinsi Liverpool walivyonyamazishwa na Ramos baada ya kumfanyia umafya Salah
Kante kawaweka kibindoni na kuwabana wasipumue akina KDB na Foden
 
jana alikuwa anashambulia kuliko Havertz na kukaba kuliko Rudiger, what a player we have. Huyo aliyemsajiligi BIG KUDOS
Hadi dk 53, City walikuwa wanasema, Kante yupo kila mahali na anazuia. Wakasema wakifanikiwa kumpita yeye biashara imeisha. Bahati mbaya hilo halikufanikiwa
 
Willian alitapeliwa na Arteta Kumbe eh!!

Upon signing Willian on a free transfer last summer, it was revealed that the Arteta had a three-year plan which included Arsenal returning to the Champions League and also aiming to win UEFA Champion League Trophy for the first time in club history.

"One of the reasons I wanted a three-year deal was to be part of that plan, not just a player passing through," the Brazilian said, as per Sky Sports.

"When I talked with the manager he told me why he needed me for three years.

"It was that he first wanted to qualify for the Champions League and win it by the time I left.

"That was what I wanted to hear.

"I was at Chelsea for seven years and won everything except the Champions League.

"Hopefully, this move will give me the trophy I haven't got as well as another Premier League title."
 
Vilabu pekee vyenye uwezo wa kusajili ni Chelsea, Man City na Probably Man United
Barca, Real Madrid hazina jeuri tena ya pesa kwa sababu ya COVID19

Akina Mbape, Haaland sijui hatima yao itakuwaje au watajisalimisha wenyewe kwenye timu ambazo wao wanaziona ni ndogo za Chelsea na Man city?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom