Sawa najuta tu nipo porini sitashuhudia kifoGurdiola anaingia kama nyuki mwenye hasira. Inaonekana leo hataki kukauka kwenye goal letu.
Nakuapia, Anakufa hatoamini.
Sawa najuta tu nipo porini sitashuhudia kifoGurdiola anaingia kama nyuki mwenye hasira. Inaonekana leo hataki kukauka kwenye goal letu.
Nakuapia, Anakufa hatoamini.
AminaHii game tunashinda
Tuelekezane ulipo basi. Unapatikana wapi?Yani nipo lazi nibakwe ila sio cheltako ashinde leo cheltako akishinda leo nikamatwe nibakwe.
We mzee wa screenshots unaibuka leo baada ya de gea kukufichaLEO TUKO UPANDE WENU...PIGAAA HAO NOISY NEIGHBORSView attachment 1801736
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jina lenyewe ni pipi daaaah mushkel kidogoYani nipo lazi nibakwe ila sio cheltako ashinde leo cheltako akishinda leo nikamatwe nibakwe.
Mkuu hebu weka pembeni ahadi za kutoa tarko ,tumekushtukia dhumuni lako ni lingine hapa unazuga tu kwenye mechiCheltako mkishinda nawapa mimi na wife wangu kama bonus kutesa kwa zamu wenzenu manulee tushapoa vifuraha vimeanza kurejea.
Ingia Facebook pale kwenye kusearch andika Manchester city vs Chelsea live zitakuja kibao
Ingia Facebook pale kwenye kusearch andika Manchester city vs Chelsea live zitakuja kibao
Man city wanarukaruka hukoSawa najuta tu nipo porini sitashuhudia kifo