Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mie sina amani kweli tana
Tunabebwa na mashabiki wenye imani na ndio raha ya kutofanana

Mim i mechi na Aston Villa niulipoona utopolo wa Chelsea nilitune na nikaanza kuoishabikia Totenham kwa muda ili watubebe na siku yangu ikaenda vizuri kwa staili hiyo
 
Werner leo atahusika na goli 2
Best wishes Werner
1622305641337.png
 
Mwenyezi Mungu awajalie wachezaji wetu wacheze vizuri na kutumia nafasi zinazo patikana, pia Mwenyezi Mungu atujaalie tuweze kutwa kombe hili. Amiin

Kila la kheri klabu yangu pendwa Chelsea FC, kuitizama Chelsea ikiwa inacheza ndio starehe yangu kubwa. Hakuna kitu na enjoy kama kuitizama Chelsea.

Panapo majaliwa tutakutana hapa baada ya mechi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom