Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo mkifunga hiki kikos ,ndio man city hii sio kina sterling hawaaa

---------- Erdeson -------

Walker -----stone----dias----zincheko

Gundogun-------frenandinho -------bernado

Mahrez --------KDB-----Foden



Mkitufunga hapo 90min full ,chelsea win kwa hicho kikosi ,basi nitanyoosha mikono kuwa saaa tushakuwa vibonde ....

Come on city
 
Wewe ni kilaza tu ,chelsea anauzoefu gan CL wewe ,taja wachezaji 5 wameocheza final CL kwenye kikosi kinachocheza leo ...

Tatizo mnatembelea historia za 2012 ,wakati tupo 2021 ,..

Kaa ukijua unategemea kina werner ,mount kupata matokeo kenge wewe
Wewe piga kelele zako lakini Kaa ukijua kuwa leo Chelsea FC tunanyanyua ndoo ya euefa champions league.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Naam ndio maana nikasema asije akajaribu huyo kitu, ni hatari sana. Ila now naona Pep amekuwa na nidhamu kwetu, tizama zile mechi mbili tulizo mfunga. Ule ujinga wake wa kupeleka wachezaji wote kwenye goli kisha wanakupelekea moto wa kutafuta mpira hakuufanya kabisa. Sasa leo lazima ajichanganye akiwa na hamu ya kupata ushindi mapema hapo ndio atakapo jilaumu
Kachezea vichapo Sana Kwa style hyohyo Vs Leicester goli 5, Vs Leeds goli 2, spurs goli 2, nyumbu goli2, Chelsea pia goli 2....
 
Leo hao panya wako utawakataa
Leo mkifunga hiki kikos ,ndio man city hii sio kina sterling hawaaa

---------- Erdeson -------

Walker -----stone----dias----zincheko

Gundogun-------frenandinho -------bernado

Mahrez --------KDB-----Foden



Mkitufunga hapo 90min full ,chelsea win kwa hicho kikosi ,basi nitanyoosha mikono kuwa saaa tushakuwa vibonde ....

Come on city
 
Kesho CITY akitutangulia kufunga goli tuu tumeshapoteza mechi, uwezo wetu wa kusawazisha na kuongeza goli ni mdogo sana.

Ila CITY tukimtangulia goli tuna uwezo wa kulidefence na kuongeza la pili endapo atapaniki.

Ningependa Christensen acheze Ukuta unakuwa solid sana na azipu apandishe mashambulizi heavy, tofauti na james akipanda anapoteza mipira ovyo.

Chilwell - Joginho - Kante - Azipu

--Rudger - Thiago - Christensen--
Ulichokosea hapo kumuweka jorginho
 
Naam ndio maana nikasema asije akajaribu huyo kitu, ni hatari sana. Ila now naona Pep amekuwa na nidhamu kwetu, tizama zile mechi mbili tulizo mfunga. Ule ujinga wake wa kupeleka wachezaji wote kwenye goli kisha wanakupelekea moto wa kutafuta mpira hakuufanya kabisa. Sasa leo lazima ajichanganye akiwa na hamu ya kupata ushindi mapema hapo ndio atakapo jilaumu
Nakuelewa sana Papaa Gx
 
Naona watu wanalalamika sana kuhusu kukosa nafasi, naam nikwel kabisa tumekuwa na tatizo hilo. Come on guys this is final, ata wachezaji wenyewe wanaelewa kabisa na sina shaka na kocha amekwisha waelekeza kuhusu hilo. Huu ni mchezo wa single leg hakuna marudiano hivyo naamini leo wachezaji wetu kule mbele watatulia, man City ni klabu nzuri hivyo ni lazima wachezaji wawe makini na nafasi wanazo pata.

Leo Mendy, Rudiger, Kante, Mount na Pulisic hawa wachezaji watano pekee wakiwa kwenye form baaaasi man City kwisha habari yake.
 
Na tatizo ndio iko hapo kwenye kutengeneza chances nyingi tena nzuri halafu hatuna wafungaji
Mpira wa kisayansi unaangalia takwimu nje ya hapo ni kubahatisha
lembu Leo Chelsea tuna shinda kumbuka hii ni fainal na wachezaji wetu wanalitaka Hili kombe kweli kweli so tegemea Leo tutapiga mpira mkubwa kama ule wa Madrid sijui wewe una wasi wasi gani hao Man city una waoverrate Sana ila Leo utawakataa mzee namna tutakavyowashinda kimbinu Man city ni weupe wakikutana na team yenye mbinu ndio maana ole anamgonga kweli kweli Guardiola Make it in your mind.

Mkohoti
Cash Money Forever
Papaa Gx
42774277
 
Kesho muda kama huu tutampongeza/tutamlaumu TT kwa kikosi alichoweka, binafsi ntaenda kuangalia mechi kwa hofu kubwa.

TT amethibitisha uwepo wa Mendy na Kante watakuwepo. Natamani kesho mabeki wawe wanne ili angalau tuongezee ulinzi golini.

London is 💙💙💙
Leo Chelsea itabadilika Sana kutokana na uzito wa game yenyewe hautaamini macho yako namna nilivyoona wachezaji walivyo kuwa na motivation na ubora wa mbinu wa kocha wetu man city leo utamkataa tunza hii comment jikumbushie baada ya game kuisha.
 
Castr Leo inabidi utusapoti london wenzako ili uone Chelsea tunavyochukua kombe la UEFA nakupa onyo mapema
Kwenye karatasi kila timu ina wachezaji wa kushinda.

Kinachobaki ni utilization ya hao wachezaji. So far Thom bado hajajua kum-utilize Werner na mashabiki mmeamini Werner na Kai ni flops. Hivyo karata yangu nampa City kama formation yenu ni 3 4 2 1 kwakua your deadly weapon kwenye hii formation haionekani.
 
Leo Chelsea itabadilika Sana kutokana na uzito wa game yenyewe hautaamini macho yako namna nilivyoona wachezaji walivyo kuwa na motivation na ubora wa mbinu wa kocha wetu man city leo utamkataa tunza hii comment jikumbushie baada ya game kuisha.
Kila timu iko motivated bro. Jinsi united ilivyoonyesha maandalizi ulitarajia kilichomkuta?
 
Kila timu iko motivated bro. Jinsi united ilivyoonyesha maandalizi ulitarajia kilichomkuta?
Usitufananishe sisi na man u kabisa unatukosea heshima sisi tunapokuwa na jambo letu nobody can stop sisi tunasumbuliwa na team za kupack bus lakini sio zinazoshambulia kama man city hao Man city utawakataa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom