Jamaa anaondoka na transformer za watuMan of the match ni ngolo kante wasipompa naandamana ka man u
Hujui mpira wewe Viungo wameandaliwa kimbinu zaidi na ndiyo maana mara zote umemuoma Kante anaonekana zaidi kwenye mashambulizi ya mwisho kuliko Mount je unajua kwanini Tuchel amefanya hivuoKai kacheza vizuri, goli la Timo yeye ndio alikuwa mpishi, Kai kamdhibiti Ramos hafurukuti mpaka kidogo kai apewe njano kwa kumpush Ramos
Tatizo la Chelsea ni pale katikati, viungo wameshindwa kuichezesha timu mpira uko kwa Real Madrid muda mwingi
Hawawezi ule mziki mwengine...hawa madrid walikuwa weupe kabisa....yaani zizou kazingu sub zake kwanza zimechelewa, mendy na viny jr walitakkwa watoke half time au angebadilisha mfumo...hawawezi cheza kama wing backs.Wasenge msindwe mpiga gadiola sasa
Kila mtu ashinde mechi zakeKwani wewe timu yako inacheza lini
Wakati Chelsea anamfunga man city Gudiola hakuwa akihitaji ushindi ndo anavodhani.Kwan siku ile Chelsea imecheza FA ilicheza na timu gani?
Acha wenge we jamaa. Tuchel amemfunga Gadiola ful stop hayo mengine ni defensive mechanism ya fans tu
Ila hapa tusisahau Frank Lampard. Aliichonga na kuisaidia sana timu kuvuka kabla ya kuanza kupata matokeo mabovu. So ni kuna watu wawili kwenye hili kombe, FL na TTThomas Tuche awa kocha wa kwanza katika historia ya vikombe vikubwa vya Ulaya kuipeleka timu mbili tofauti fainali katika miaka inayofuatana
Bado tutaendela kuvun ja rikodi
Sijui maana kateta na weweHujui mpira wewe Viungo wameandaliwa kimbinu zaidi na ndiyo maana mara zote umemuoma Kante anaonekana zaidi kwenye mashambulizi ya mwisho kuliko Mount je unajua kwanini Tuchel amefanya hivuo
Come on the blues, we can do this
ina kaba kote kote pongezi kwa AbromovicChelsea yawa timu ya kwanza kuwahi kutokea timu zote mbili za wanaume na wanawake kutinga fainali za UEFA
Iyo city tutapiga kipigo cha mbwakokoHawawezi ule mziki mwengine...hawa madrid walikuwa weupe kabisa....yaani zizou kazingu sub zake kwanza zimechelewa, mendy na viny jr walitakkwa watoke half time au angebadilisha mfumo...hawawezi cheza kama wing backs.
Centre backs wake wa pembeni nacho na yule militao sijui nao hawakutekeleza function za outside centrebacks kama alivyokuwa anafanya mjerumani mweusi upande wa chelsea.
In short madrid dnt have the personnel nor did they assimilate the tactical movements required to play the chosen system on the day.