Chelsea ikifanikiwa ku cheza mpila na formant kama tulio cheza na Leicity jana, ubingwa CL utakua wetu kwa asilimia 80% kwa sababu zifatazo:
Mancity sio wazuri kuzuia magoli kama Leicity, defence yao sio imara kama ya leicity, hata jana walifungwa matatu na timu inayo shuka dalaja.
Manicity nguvu yao ni viuongo ndo wanao chezesha sana hiyo timu, tukiweka viungo wa nne pia kama Jana tutawanyanganya mpila ki rahisi.
Wanner hafungi sana ila anapanua sana uwanja kutegeneza na fasi kwa wengine kufunga, kwahiyo kuna wakati anacheza kama winga na wakati kama striker Manicity hawana uwezo kumzuia mtu mwenye kasi kama ya Timo.
Mancity ukiwabana hawanaga plan B. nikama Barcelona tena endogani na de Braina mkiwakaba vizuri hawana wabunifu zaidi ya hao, James na rudriga wanawaweza vizuri.
Chelsea inebidi ezuie deadballs na set pieces kama free kicks na corners makhrezi atawekwa kwaajiri ya dead balls. Foden ukimzuia kupata space ya kuchezea anapotea mazima, anategemea msaada kwa De braina na makhrezi, kwahiyo beki ya chelsea ina mfahamu vzri.