Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aina ya striker tulionao wanacreate chance chache sana wakiwa uwanjani.

Na tukishindwa kuzitumia hizo chance ndo basi tena.
Hatukuwa na striker leo. Wale wote walikuwa ni wapishi. Wamaliziaji wote walikuwa nje ya uwanja. Timu haina shida ila kocha akileta rigidity yake yatamkuta ya FL. Moja ya factor zilimponza ni kumpendelea Tammy hata pale ambapo kulikuwa na better choices
 
Kuna watu humu inabidi mkue kichwani. Bongo na mioyo yenu ibalehe basi. Kwani lazima matusi na kejeli zenye kutusi wengine?

Mpira furaha. Mtatukimbiza wengine humu. Huwa hatuna furaha kusoma matusi. Tuchangamshane kwa kustahiana. Hakuna mmiliki wa timu zetu humu. Infact wenye timu hawatujui. Tusigeuze furaha kuwa faraka, haifai!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom