Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Changamoto kubwa sana tulionayo ni umaliziaji, chance zinatengenezwa shida ila tunashindwa kuzimalizia

Tumuombee Mendy tareh 29 awepo tofauti n hivyo tutakuwa na hali ngumu
 
29
E2FzaRBX0AI1Sw5.jpg
 
Nba bahati sana nyie kuku, ila mpaka hapo sidhani kama ntaendelea kuwa na kiburi chakusema kuwa hakuna team inayoweza ku-unlock kikosi chenu.

Kikosi chao hakina maajabu.villa leo kakaa tu nyuma muda wote wanacheza wao na wamekula 2 .
 
Changamoto kubwa sana tulionayo ni umaliziaji, chance zinatengenezwa shida ila tunashindwa kuzimalizia

Tumuombee Mendy tareh 29 awepo tofauti n hivyo tutakuwa na hali ngumu
Hili ndio tatizo unapoweka best of your strikers nje. Mount, Pulisic, na Werner ni wapishi, sio wafungaji. Na leo wamepika nafasi nyingi sana. Ila hakukuwa na mfungaji, so zimepotea. Chilwell kakosa nafasi nyingi. Kapiga ki beki beki baada ya nafasi kuwapita waliopaswa haswa kuzitumia. Timu imecheza vizuri ila kocha arudishe chenji!
 
Kweli kabisa. Katoboa mtumbwi ila kavuka salama. Tunawashukuru pia Tottenham Hotspurs kwa kazi nzuri ya uokoaji.

Hopefully ujinga alioufanya TT kwenye mechi 3 zilizopita na ukatugharimu hataurudia tena!
Leo TT kosa lake ni lipi?
Aliyekuwa anatubeba Kante bado majeruhi, labda kumuweka Werner no 9 mimi ndio niliona angemuweka Havertz hapo na Werner akacheza kushoto. Dressing room ndio sio kwema na msimu wa kiangazi Chelsea wasipomsajili goal machine kama Kane au Haaland basi tusahau Ubingwa tutakuwa tunapigania top 4 tu tena kwa kuumia kama leo
 
Changamoto kubwa sana tulionayo ni umaliziaji, chance zinatengenezwa shida ila tunashindwa kuzimalizia

Tumuombee Mendy tareh 29 awepo tofauti n hivyo tutakuwa na hali ngumu
Leo shots = 23
On target = 7
Goals = 1
Tunamuhitaji Kane
 
Leo baada ya goli la kwanza ikanibidi nihamie kwenye mechi ya Spurs na Leicester city huku nabana
Leo Chelsea na Tuchel wameudhi, siku ya kupambana wao wanaremba tu
 
Levy hawezi kuuzia Kane hiyo sahau, pia ata yeye hawezi kuja Chelsea. Kane anaenda Man City, sisi kama tunataka straika tukomae na Haaland, Lewandowski ama Andre Silva. Huyo Silva pia Man City wanamtaka.
Leo shots = 23
On target = 7
Goals = 1
Tunamuhitaji Kane
 
Dah! Mei 29, awe amepona aisee.
YES, kaumia kifua na tumbo ila naona sio serious sana vinginevyo angetoka pale pale alipouma kasubiri hadi HT hiyo ni dalili kuwa ni scare sio injury
 
Tuchel kaanza kuniboa sasa
Leo baada ya goli la kwanza ikanibidi nihamie kwenye mechi ya Spurs na Leicester city huku nabana
Leo Chelsea na Tuchel wameudhi, siku ya kupambana wao wanaremba tu
 
Kante Kwan ni majeruhi? Kocha si alitwambia hakuumia bali alimtoa tu. Mi nikajua leo amepumzika tu
Leo TT kosa lake ni lipi?
Aliyekuwa anatubeba Kante bado majeruhi, labda kumuweka Werner no 9 mimi ndio niliona angemuweka Havertz hapo na Werner akacheza kushoto. Dressing room ndio sio kwema na msimu wa kiangazi Chelsea wasipomsajili goal machine kama Kane au Haaland basi tusahau Ubingwa tutakuwa tunapigania top 4 tu tena kwa kuumia kama leo
 
Wachezaji wafuatao ni lazima wafanyiwe replacement

  1. Zouma - Anacheza vizuri ila ni risk player
  2. Jorginho - Hana consistency
  3. Emerson - amepoa sana
  4. Giroud - apishe damu mpya, ni mfungajio mzuri lakini sio level ya ubingwa wa EPL
  5. Tammy Abraham - Ni mfungaji mzuri ila sio kwa level ya ubingwa wa EPL, labda kama lengo letu ni top 4 tu

Wachezaji wanaotakiwa
  1. Striker level ya magoli 20+ kwa msimu 80m
  2. CB level ya Silva 50m
  3. Kiungo mfungaji wa 10+ goals kwa msimu 50m
Angalau zitumike 180m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom