lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,491
Alitakiwa jana jumamosi aanza mazoezi na wenzake ila hakuwepo ndio maana hata kwenye benchi hakuwepo ila jumatatu atataanza mazoezi na wenzake kwa ajili ya jmosiKante Kwan ni majeruhi? Kocha si alitwambia hakuumia bali alimtoa tu. Mi nikajua leo amepumzika tu