Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nasikia kapeta penalty nyingi na goli kwa upande wa chelsea. Je zilikuwa za halali?
Penalty moja ya Werner ilikuwa halali ukiacha hiyo tuliyopewa ila magoli mawili aliyofunga Werner hazikuwa halali. Goli la kwanza offside na la pili alifunga kwa mkono
 
Leicester city sioni wakitoboa kwa Spurs, wakijitahidi sana ni droo. Naiona Liverpool wakiingia top 4 kuchukua nafasi ya Leicester city.
Kuchukua FA kumewaponza LCFC
 
Penalti moja tofauti na hiyo ilipatikana kipindi cha kwanza ukiangalia unaweza sema ni halali ila binafsi ile sio penalti. Maana beki wa Leicester alikuwa akijaribu kuupiga mpira ili utoke katika eneo hatari ile anapiga Werner nae akaingiza mguu wake so ile sio penalti
Nasikia kapeta penalty nyingi na goli kwa upande wa chelsea. Je zilikuwa za halali?
 
Penalti moja tofauti na hiyo ilipatikana kipindi cha kwanza ukiangalia unaweza sema ni halali ila binafsi ile sio penalti. Maana beki wa Leicester alikuwa akijaribu kuupiga mpira ili utoke katika eneo hatari ile anapiga Werner nae akaingiza mguu wake so ile sio penalti
Hapo unakosea. Nenda kasome malumbano ya pundits wengi, hiyo ilikuwa simple decision. Ni penalti hakuna jingine
Mane alishwahi kupewa penalti inayofanana na hiyo mwaka jana au juzi . Kuwahi kuweka mguu na yeye akajipigia bila kutazama akaupiga mguu badala ya mpira hiyo ni penalti
 
Penalty moja ya Werner ilikuwa halali ukiacha hiyo tuliyopewa ila magoli mawili aliyofunga Werner hazikuwa halali. Goli la kwanza offside na la pili alifunga kwa mkono

Shukrani mkuu. Jana sijaangalia mpira nipo pori kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom