Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,141
- 21,279
Hii timu ni takataka tu ,njoon niwapasulie yai ,nipachike ukuni may 29 !!!
Tunapokea Hi toka Leicester City...Nyie kenge mwaka huu uliona mzuri kwenu lakini hamtoamini macho yenu.
LEICISTER ANAWAPA HI
Ni kweli tumetoka Mama.Mkijichanganya hata top 4 mnaweza toka nyinyi maLONDON BABY
Tuletee updated version...😀😁😂🤣😃😄😅😆🙄🙄🙄🙄🙄View attachment 1795426
Umepata nguvu baada ya waume zenu kuwaokoa sio?..sio mbayaHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Wanaume tumekaa kimya kwenye uzi wetu tunaangalia mechi yetu, nyumbu na Arse8 mnajipitisha mmevaa kanga moja imelowa maji huku mnatutingishia wowooo na kutuambia THE BLUES kuleni tigo yetu.
Hatuna mtu the blues kama wwSamahani Ze Bluz wenzangu, hatuna uwezo wa kumfunga Man City UEFA Cup final tarehe 29/05/2021
Sawa, tuna siku sita. Usijikaushemaboyakienda ndivyo sivyo...Hii timu ni takataka tu ,njoon niwapasulie yai ,nipachike ukuni may 29 !!!
Wew kobe mshukuru spurs uwezo hamnaNi kweli tumetoka Mama.
Aina ya striker tulionao wanacreate chance chache sana wakiwa uwanjani.Inategemeana na kikosi kitakachoingia uwanjani. Akiendelea na hii ya kupanga timu bila striker, tutafungwa tu!
Timu yako arsenal imeshindwa hata kufuzu kushiriki kombe la viti maalumu.Nyie kenge mwaka huu uliona mzuri kwenu lakini hamtoamini macho yenu.
LEICISTER ANAWAPA HI
Endelea kukariri.Watkins piga hawa mbuzi..
Yaani unashindwa kumfunga Villa ili ujiakikishie top four unawaza bahati nasibu za UCL..Pep atawararua kama hana akili nzuri..jumamosi sio mbal
Lete tena msimamo Binti.
Mbuzi ww sishabikii timu toka London mimiTimu yako arsenal imeshindwa hata kufuzu kushiriki kombe la viti maalumu.
Najua una hasira maana umeshindwa hata kuqualify kwenda kombe la UEFA la viti maalum.Katika mpira kubebwa na kubebana kumo. Villa tulimbeba msimu uliopita hakushuka daraja, msimu huu mechi yao kabla na nyinyi alitusaidia kiukweli.
Mkitoka hapo nendeni mkalike page ya Spurs insta
Kwamba Tote imewasaidia hawa vibonde wakamiaji kubaki top 4 😆Wew kobe mshukuru spurs uwezo hamna
Sawa BintiWew kobe mshukuru spurs uwezo hamna
Wametuokoa ukimaanisha kuwa hizo pointi 67 tulizipata leo hii tu?Lei 2 : 4 Spurs
Spurs wametuokoa kubaki top 4. Shameful!
Bora hata mimi niko fainali ya UEFa tena nilimtoa mume wako Madrid. Ilitakiwa uwe umejifungia huko Siyo kishinda kwenye uzi wa wanaume.Mbuzi ww sishabikii timu toka London mimi
YNWA
Mkuu Chelwowo uwezo mdogo sema kiupepo kizur kiliwapitiaKwamba Tote imewasaidia hawa vibonde wakamiaji kubaki top 4