Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Anaanza na Winger 3, bila strikerLeo Tuchel anatakiwa aanze na striker
Giroud atafute timu nyingine tu baada ya msimu huu. Tuchel anamshushia kiwango tu.
Anaanza na Winger 3, bila strikerLeo Tuchel anatakiwa aanze na striker
Pulisic sio shida. Shida ni kuweka Wing kama Striker.TT bwana yaani Pullisic ni Mugalu
Inategemeana na kikosi kitakachoingia uwanjani. Akiendelea na hii ya kupanga timu bila striker, tutafungwa tu!Samahani Ze Bluz wenzangu, hatuna uwezo wa kumfunga Man City UEFA Cup final tarehe 29/05/2021