Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwani hujamuelewa acha kuchukia timu yetu.......anamaanisha msimu ujao tutaua kila mbwa itakao katisha mbele yetu hususani manicity arsenal Man u Liverpool nk
"Chelsea next season we killed every mbwa"

Rasi simba yupo anafundisha lugha ya malikia kwa bei sawa na bure
 
Kwani hujamuelewa acha kuchukia timu yetu.......anamaanisha msimu ujao tutaua kila mbwa itakao katisha mbele yetu hususani manicity arsenal Man u Liverpool nk
"Chelsea next season we killed every mbwa atakayekuja"

Hapo Word to word translation

"Chelsea msimu ujao tuliua kila mbwa atakayekuja"
 
Chelsea ikifanikiwa ku cheza mpila na formant kama tulio cheza na Leicity jana, ubingwa CL utakua wetu kwa asilimia 80% kwa sababu zifatazo:

Mancity sio wazuri kuzuia magoli kama Leicity, defence yao sio imara kama ya leicity, hata jana walifungwa matatu na timu inayo shuka dalaja.

Manicity nguvu yao ni viuongo ndo wanao chezesha sana hiyo timu, tukiweka viungo wa nne pia kama Jana tutawanyanganya mpila ki rahisi.

Wanner hafungi sana ila anapanua sana uwanja kutegeneza na fasi kwa wengine kufunga, kwahiyo kuna wakati anacheza kama winga na wakati kama striker Manicity hawana uwezo kumzuia mtu mwenye kasi kama ya Timo.

Mancity ukiwabana hawanaga plan B. nikama Barcelona tena endogani na de Braina mkiwakaba vizuri hawana wabunifu zaidi ya hao, James na rudriga wanawaweza vizuri.

Chelsea inebidi ezuie deadballs na set pieces kama free kicks na corners makhrezi atawekwa kwaajiri ya dead balls. Foden ukimzuia kupata space ya kuchezea anapotea mazima, anategemea msaada kwa De braina na makhrezi, kwahiyo beki ya chelsea ina mfahamu vzri.
 
Kane ajifunze kutoka kwa Bale
miaka 7 uhamishoni makombe 13 kibindoni ikiwemo UEFA 4, Laliga 2, na makombe madogo 7
Kane zero
Kane njoo Chelsea
 
Chelsea ikifanikiwa ku cheza mpila na formant kama tulio cheza na Leicity jana, ubingwa CL utakua wetu kwa asilimia 80% kwa sababu zifatazo:

Mancity sio wazuri kuzuia magoli kama Leicity, defence yao sio imara kama ya leicity, hata jana walifungwa matatu na timu inayo shuka dalaja.

Manicity nguvu yao ni viuongo ndo wanao chezesha sana hiyo timu, tukiweka viungo wa nne pia kama Jana tutawanyanganya mpila ki rahisi.

Wanner hafungi sana ila anapanua sana uwanja kutegeneza na fasi kwa wengine kufunga, kwahiyo kuna wakati anacheza kama winga na wakati kama striker Manicity hawana uwezo kumzuia mtu mwenye kasi kama ya Timo.

Mancity ukiwabana hawanaga plan B. nikama Barcelona tena endogani na de Braina mkiwakaba vizuri hawana wabunifu zaidi ya hao, James na rudriga wanawaweza vizuri.

Chelsea inebidi ezuie deadballs na set pieces kama free kicks na corners makhrezi atawekwa kwaajiri ya dead balls. Foden ukimzuia kupata space ya kuchezea anapotea mazima, anategemea msaada kwa De braina na makhrezi, kwahiyo beki ya chelsea ina mfahamu vzri.
Endogan

De Braina

Makhrezi

Ndio vitu gani wewe ????

Nyie wachambuzi uchwara sijui mnatoka wapi ?

Kama unadhani ni rahisi hivo ,lets go ,10 days to time ..!

You will come and speak above f** king shiit
 
Endogan

De Braina

Makhrezi

Ndio vitu gani wewe ????

Nyie wachambuzi uchwara sijui mnatoka wapi ?

Kama unadhani ni rahisi hivo ,lets go ,10 days to time ..!

You will come and speak above f** king shiit
Kipi hujaelewa wewe mbona povu kwahiyo unaweka kiingereza cha nini, wewe chambua vyakwako acha ushabiki wa kijinga bwasha
 
Endogan

De Braina

Makhrezi

Ndio vitu gani wewe ????

Nyie wachambuzi uchwara sijui mnatoka wapi ?

Kama unadhani ni rahisi hivo ,lets go ,10 days to time ..!

You will come and speak above f** king shiit
mshabiki wa arsenal uliyetua man city
 
Kwenye mpira ukiachana na burudani inayo patikana uwanjani basi kingine kinacho nivutia na kunifurahisha zaidi ni ugomvi wa wachezaji. Hiyo kitu napenda sana, jana ule ugomvi nilienjoy sana nilikuwa nimemisi sana kitu kama hicho kwenye mpira. Toka ule ugomvi ulitokea baina yetu na Tottenham sikuona tena mpaka hapo jana ile ndio inaitwa Fighting for the badge.

Alafu hawa Leicester City ni kama wanafosi kuwa wapinzani wetu.
 
Mambo yalikuwa hivi... Die hard Chelsea fan player
1621431794491.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom