Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,174
- 26,913
Aisee UCL itabidi wacheze kufa na kuponaMi nasubiri UCL kuona itakuaje ila tangu jana ile speech ya TT basi ckuwa na imani na h fainali.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Aisee UCL itabidi wacheze kufa na kuponaMi nasubiri UCL kuona itakuaje ila tangu jana ile speech ya TT basi ckuwa na imani na h fainali.
Leo haonekanHuyu jamaa huwa anachongaga sana kwenye majukwaa yawenzie hasa akikufunga
Hukuta pupa mwenyewe hana kituMalizia methali hii
Mtaka yote kwa pupa........
Sijui TT atakuja na speech gani tena yule
Kweli TT ameshaanza mambo ya Lampard. Mwache UEFA asichukue na atoke top4, akili ndio itamkaa sawa.Umama mwingine ni kumuweka pulisic benchi, hv pale kuna mchezaji gani wa kumuweka pulisic nje.?
Bora tutoke top four kuliko kupoteza UCL aisee, ila mechi muhimu kama hizi afu ety pulisic yupo nje zinanikera sana maamaeKweli TT ameshaanza mambo ya Lampard. Mwache UEFA asichukue na atoke top4, akili ndio itamkaa sawa.
Mbona kipa wa Lecestr kadaka lile la Mount.Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
Arteta ndio ana akili ndio maana yupo nafasi ya 10Kocha wenu hana akili hiyo mnayoamini anayo.
Ziyench akianza anakuwa ovyo. Mfano mzuri ni leo.Kwa kasi ya Timo na Striking ya Giroud, wakianza ni moto. Ziyech pia anapaswa kuanza kwa sababu ya pasi mpenyezo. Then sub Capt. America
Wewe unamtaka kocha wa aina gani?? TT unamfananisha na kocha gani EPL au mpira umeanza kuushabikia Juzi,Mapinduzi aliyoyafanya ndani ya chelsea umeyaona au unaupofu wa macho..Ukishaingia kwenye mtego mara moja watu wanatumia nafasi basi kwishaNachukulia una uchungu na hasira. I will go easy on you.
Timu yangu sina cha kujivunia? Timu yangu ina trophies 47. Hii timu ina ngapi?
Hakuna sehemu nimewahi kumlaumu na siwezi kumlaumu kwakua timu hainihusu. Ambacho nimekisema kuanzia anafika ni kwamba kocha hana uwezo ambao mashabiki mnadai anao. Mchezaji au kocha mpya akija ni kawaida timu kupanda morali ghafla.
Mimi wewe ndiyo kwanza naona leo id yako kuna wenzako wakiongozwa na Ollachuga Oc hua wanapita nyuzi za watu kutukana. Kwahiyo ukiona watu tumeingia humu na hatuchambui chochote zaidi ya kashfa ni malipo ya mnayofanya nyinyi pia.
Mimi nishaandika juu ya ubovu wa Kepa na sababu zake, Werner na potential zake, game ya Chelsea na Barcelona, stats za Drogba na Henry kipindi hicho nafikiri haupo.
Punguza hasira, hapa kocha hamna. Na ucl mnaitema. Sioni ni kivipi mtapoteza top four ila ucl hamchomoki.
kweli ni motoKikosi moto
Christensen anasumbuliwa na injury gani?
Nipe matokeo yao na LeicterHawa wahuni wa darajan wakichukua FA Leo sijui nitaweka wapi sura yangu ..
Eeeeh Mungu naomba maombi yangu yatimie ,kwa upendo wako na rehema zako naamini utaenda kutenda sawa sawa na mapenzi yako .
Kawape nguvu lecister city dhid ya hawa wavuta bangi wa londoni ...
Kuhusu uefa usijali ,sitakuwa na haja ya kukuachia ,yaani tutawatafuna sisi wenyewe ...
Camoooon leciscter city ...!!!!!
FA vipi mkuuMh.kwa team hiii ya Chelsea atawaachia lingi tuuu ila makombe mengine awamu hi hatutaki mchezo
Saivi unalia au?
Nimejikuta kucheka tu
vipi Alitoka uwanjani nililewa ndiyo naamka nowBado masaa 5 tumpelekee moto Leicester mpaka atoke uwanjani mwenyewe.
Tena imekuwa ivyoTT leo katukosea sana, hicho sio kikosi cha kucheza fainali.
pole