Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

images (2).jpeg
 
Siku zote nilikua najua huyu kocha uwezo wake ni wa kawaida juzi alipodai ushindi wa Arsenal ni wa bahati nikajua kumbe na akili hana.

Nataka nimsikie leo atasema kama Leicester imembahatisha pia au hawa wamestahili.
 
VA ni maku. ma sana hawakutaka Chelsea wabebe kombe, hawakuona kuna mchezaji alishika kabla y goli wamekuja kuona offside ambayo sio ofside, macho.ko
 
RAV ni maku. ma sana hawakutaka Chelsea wabebe kombe, hawakuona kuna mchezaji alishika kabla y goli wamekuja kuona offside ambayo sio ofside, macho.ko
Kunywa maji upunguze hasira

Chelsea hakuna shambulizi la maana lakutisha mlilo fanya hivyo hamkustahili ushindi
 
Haibadilishi matokeo lakini kamauna macho umeona. Vinabo ndio nini?
Wenger amesuggest hicho kilichopo leo kisiwe offside. Mpaka yatakapokubaliwa mapendekezo hayo huyo Chillwell leo yupo offside.

Bado hamna kocha wa kuunlock potential ya Werner. Tuchel ni muongeaji mno, anawaahidi makubwa anadhani hii ni Ligue 1 hiyo ni EPL siku mnapigwa 5 ilibidi ajifunze kubaki na akiba ya maneno badala yake anazidi kubwabwaja.

Vinabo ni vibonde
 
Hizi ni jezi zenu mpya za msimu ujao. Naona mshazitia gundu😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom