Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Leo unaenda kutolewa kamasi na lecister city wewe ..!Tar 29 mtatoa milio yote ya chumbani.
Leo unaenda kutolewa kamasi na lecister city wewe ..!Tar 29 mtatoa milio yote ya chumbani.
Sawa. Shabiki wa mkopo wa leicesterLeo unaenda kutolewa kamasi na lecister city wewe ..!
Hapana, msimu uliopita kuanzia Corona hadi ligi ikaisha Zouma alicheza vizuri, ni abaada ya TT kuja na forms za Christensen na Rudiger zilipoboreka ndipo Zouma kakosa ujasiri, no concertation, anatake risk za hatari ambazo kwa kweli mimi sizipendi kabisa. Zouam awe anapewa mechi ambazo sio muhimu kwa sasa
Hawa wahuni wa darajan wakichukua FA Leo sijui nitaweka wapi sura yangu ..
Eeeeh Mungu naomba maombi yangu yatimie ,kwa upendo wako na rehema zako naamini utaenda kutenda sawa sawa na mapenzi yako .
Kawape nguvu lecister city dhid ya hawa wavuta bangi wa londoni ...
Kuhusu uefa usijali ,sitakuwa na haja ya kukuachia ,yaani tutawatafuna sisi wenyewe ...
Camoooon leciscter city ...!!!!!





Dah nimepanga hicho kikosi huko mbele nimeona kichwa kinawaka Moto. Tuchel ana kazi ngumu sana.Kante anaanza, kocha kasema jana
Mwenzako anapost makombe. Wewe hili ndio kombe lako? Kweli arsenal ni matakataka.
Nikisema nianze kupost kombe la kila Arsenal alilochukua na wewe upost kila ambalo chelsea kachukua wewe utaishia njiani huku mi nikiwa naendelea kupost.Mwenzako anapost makombe. Wewe hili ndio kombe lako? Kweli arsenal ni matakataka.
Huna UEFA utaniambia ninu mimi. Timu inajiita kubwa halafu haina kombe la wakubwa hata moja?Nikisema nianze kupost kombe la kila Arsenal alilochukua na wewe upost kila ambalo chelsea kachukua wewe utaishia njiani huku mi nikiwa naendelea kupost.
London Is Red![]()
Arsenal haijiiti kubwa.Huna UEFA utaniambia ninu mimi. Timu inajiita kubwa halafu haina kombe la wakubwa hata moja?
Timu kubwa nilishaichabanga 6 bila.
Hao Nottingham uliwapiga 6?Timu kubwa nilishaichabanga 6 bila.
Show me your legendsNikisema nianze kupost kombe la kila Arsenal alilochukua na wewe upost kila ambalo chelsea kachukua wewe utaishia njiani huku mi nikiwa naendelea kupost.
London Is Red![]()